Ni kawaida kuita maeneo ya vijijini kuwa hakuna maendeleo,lakini ukiuliza maendeleo hayo yanaletw na na nani ni vigumu kupata majibu yanayoshawishi.
Maendeleo hayaanziii katika jiji bali hunza na mtaa kisha kijiji na miji na majiji,hivyo basi nitajaribu kueleza kinaga ubaga maeneo ya ya vijiji mbalimbali vya mwambao au ukanda wa ziwa nyasa na shughuli zao za kiuchumi.
Lakini vitahusu vijiji vya mkoa wa Ruvuma hususani wilaya ya mbinga na kisha tutaona vijiji vingine na historia ya makabila ya maeneo ya wilaya hiyo hivy ni vyema nikajiandaa vilivyuo ili kutoa maelezo sahihi kwa kila kijiji na shughuli zake.
September 15, 2007
Ukanda Wa Nyasa Na Ukweli Wake
Madhumuni
kumbukumbu
September 13, 2007
Katuni Nazipenda sana
Kuna katuni zinazochorwa wakati mwingine zinaweza kukufanya uwe na munkari a kufikiri.
kwani wachoraji wake wanaweza kuchora picha ambazo ni kama habari nzima za za magazetini kwa siku nzima.
kuna katuni za Simon Regis,Masudi Kipanya na Nathani Mpangala.Hawa jamaa wananifanya niwaone kama wanahabari wasioandika chochote bali wanakupa mchoro kisha sentensi moja baadaye tafakari mwenyewe.
Hoja yangu ni kwamba michoro ina habari tamu kuliko habari za uwongo za vyombo vya habari.
Namaanisha kwamba habari lazima ziwe na maudhui ya kuwafanya watu wapate maarifa si habari zinazosifia vigogo na uharamia wa kicheko kama ni ngonjera njema.
MUHIMU; Nitawaeleza habari kutoka nyasa kwa kila kijiji cha mwambaoni humo hususani mkoa wangu wa ruvuma na wilaya yangu ya Mbinga jimbo la Mbinga magharibi.
twende pamoja maana nisera yangu kuu kuhusu nyasa
kwani wachoraji wake wanaweza kuchora picha ambazo ni kama habari nzima za za magazetini kwa siku nzima.
kuna katuni za Simon Regis,Masudi Kipanya na Nathani Mpangala.Hawa jamaa wananifanya niwaone kama wanahabari wasioandika chochote bali wanakupa mchoro kisha sentensi moja baadaye tafakari mwenyewe.
Hoja yangu ni kwamba michoro ina habari tamu kuliko habari za uwongo za vyombo vya habari.
Namaanisha kwamba habari lazima ziwe na maudhui ya kuwafanya watu wapate maarifa si habari zinazosifia vigogo na uharamia wa kicheko kama ni ngonjera njema.
MUHIMU; Nitawaeleza habari kutoka nyasa kwa kila kijiji cha mwambaoni humo hususani mkoa wangu wa ruvuma na wilaya yangu ya Mbinga jimbo la Mbinga magharibi.
twende pamoja maana nisera yangu kuu kuhusu nyasa
Madhumuni
katuni
September 09, 2007
Asanteni 'TAIFA STARS' Safari Ndiyo Imeanza!!!!!!!
Naam kwa jasho jingi lililowatoka,toka mwanzoni mwa michuano hii.Hakika mnastahili pongezi kwa kazi nzuri.Kzi yenu ilikuwa ngumu,na mara nyingi ninamini kwamba huko ni kuwabebesha msalaba wa dhambi kwa uonevu.
Asanteni kwa kazi nzuri mliyoifikisha hadi wakati huu,hakika sina cha kuwalipa zaidi ya kuwashukuru kwa kazi yenu nzuri.
SASA kazi ndiyo imeanza,wakati ndiyo huu wa kudhihirisha kwamba mnaujua vilivyo mchwezo wa kandanda bila kujali matokeo yetu ya kipindi hiki.
Kazi iliyopo mbele yetu ni kubwa sana achilia mbali wakati huu,pia tunawakaribisha wadogo zetu 'serengeti'{chini ya 17} ili kuweza kujifunza kukabiliana na soka la dunia hii.Hakika hili ni soma tosha na ulikuwa ni mtihani mkubwa wa vijana wenzangu,hawa.
kama mtihani huu ndiyo jaribio la kwanza katika ulimwengu wa kabumbu.
KAZI NDIYO IMEANZA STARS HAKUNA KULALA.
Asanteni kwa kazi nzuri mliyoifikisha hadi wakati huu,hakika sina cha kuwalipa zaidi ya kuwashukuru kwa kazi yenu nzuri.
SASA kazi ndiyo imeanza,wakati ndiyo huu wa kudhihirisha kwamba mnaujua vilivyo mchwezo wa kandanda bila kujali matokeo yetu ya kipindi hiki.
Kazi iliyopo mbele yetu ni kubwa sana achilia mbali wakati huu,pia tunawakaribisha wadogo zetu 'serengeti'{chini ya 17} ili kuweza kujifunza kukabiliana na soka la dunia hii.Hakika hili ni soma tosha na ulikuwa ni mtihani mkubwa wa vijana wenzangu,hawa.
kama mtihani huu ndiyo jaribio la kwanza katika ulimwengu wa kabumbu.
KAZI NDIYO IMEANZA STARS HAKUNA KULALA.
Madhumuni
soka
Subscribe to:
Posts (Atom)