Ni kwamba nipo katika chuo kikuu hapa mlimani katika tawi la chang'ombe,si unajua tena mambo ya kusaka elimu ya dunia hii.Basi ni kwamba kabla sijaandika kuhusu nyasa ngoja nidokoe japo kidogo.
Lero nipo hapa chuo kikuu nafashughulikia masuala yangu ya ya masomo si unajua dunia ya sas bila kusoma kazi bure tu ndugu yangu lakini kuisoma ni maarifa si vyeti.
Ndiyo nipo katika elimu juuuuu zaidi.Achana na hilo halihusu kabisa kuhusu nyasa bado nafanya upembuzi yakinifu kwa mahitaji ya wasomaji
September 17, 2007
Kwa ufupi leo
Madhumuni
soga
Uzuri Wa Ukanda Wa Nyasa
Kwa kawaida ni ngumu kukubalina na hoja kwamba maeneo ya vijijini kuna uzuri wake licha kuwa na tabia za kijijini.kwanini nasema hivyo kwasababu mara nyingi wageni husasni wazungu wakija maeneo haya huvutiw na mandhari yake,si hao pekee kun a wenyeji huvutiwa zaidi ya kuona kila siku mana ni burudani tosha katika ulimwengu mzuri wa raha kama nyasa.Ni muda huohuo ninaoufanya kuifurahia hali ya hewa na uzuri wake.
Kweli maeneo haya yanapendeza sana licha ya kuwa na tabia za vijiji,ambavyo nchi yetu haifanyi juhudi za kuendeleza vijiji vyake.Kama nilivyosema awali kwamba ni wakti wa kuonyesha hali yake nzuri na furaha ya ukanda wa nyasa ulivyo maana ni burdani tosha katika maisha ya kila siku ya wanyasa ambao hujituma kwa kuafanya kazi za kuleta maendeleo yao.Tuatoana kila eneo la kijiji na shughuli zake za kila siku.
Kweli maeneo haya yanapendeza sana licha ya kuwa na tabia za vijiji,ambavyo nchi yetu haifanyi juhudi za kuendeleza vijiji vyake.Kama nilivyosema awali kwamba ni wakti wa kuonyesha hali yake nzuri na furaha ya ukanda wa nyasa ulivyo maana ni burdani tosha katika maisha ya kila siku ya wanyasa ambao hujituma kwa kuafanya kazi za kuleta maendeleo yao.Tuatoana kila eneo la kijiji na shughuli zake za kila siku.
Madhumuni
uzuri
September 15, 2007
Ukanda Wa Nyasa Na Ukweli Wake
Ni kawaida kuita maeneo ya vijijini kuwa hakuna maendeleo,lakini ukiuliza maendeleo hayo yanaletw na na nani ni vigumu kupata majibu yanayoshawishi.
Maendeleo hayaanziii katika jiji bali hunza na mtaa kisha kijiji na miji na majiji,hivyo basi nitajaribu kueleza kinaga ubaga maeneo ya ya vijiji mbalimbali vya mwambao au ukanda wa ziwa nyasa na shughuli zao za kiuchumi.
Lakini vitahusu vijiji vya mkoa wa Ruvuma hususani wilaya ya mbinga na kisha tutaona vijiji vingine na historia ya makabila ya maeneo ya wilaya hiyo hivy ni vyema nikajiandaa vilivyuo ili kutoa maelezo sahihi kwa kila kijiji na shughuli zake.
Maendeleo hayaanziii katika jiji bali hunza na mtaa kisha kijiji na miji na majiji,hivyo basi nitajaribu kueleza kinaga ubaga maeneo ya ya vijiji mbalimbali vya mwambao au ukanda wa ziwa nyasa na shughuli zao za kiuchumi.
Lakini vitahusu vijiji vya mkoa wa Ruvuma hususani wilaya ya mbinga na kisha tutaona vijiji vingine na historia ya makabila ya maeneo ya wilaya hiyo hivy ni vyema nikajiandaa vilivyuo ili kutoa maelezo sahihi kwa kila kijiji na shughuli zake.
Madhumuni
kumbukumbu
Subscribe to:
Posts (Atom)