February 24, 2008

SIMAMISHA.KILA KITU SOMA FALSAFA HII

"Elimu siyo shahada wala cheti,ni uwezo wa kuchambua,kufikiri kwa njia pana,kuwa mbunifu,kuuliza maswali,kuwa jasiri,kujiamini,kujua jinsi ya kujifunza zaidi,kupanga mambo vizuri,kupima,kuhoji,kuweza,kutatua matatizo ambayo hujawahi kukabiliana nayo".Vipi ndugu yangu Dada JANETI unaonaje hayo na ndugu yangu Dada SUZI pale chuo kikuu cha Mwalimu Nyerere unaonaje hii.Simamisha kila kitu kwani usiposoma basi unafukuzwa katika ulimwengu huu au kusoma blogu hii{natania}.kazi kwenu wanazuoni hasa Ndesanjo