April 30, 2008
Bado Hasira hazijaisha kwani nakumbuka sna Nyasas
Unajua kipi kinachonikasirisha hapa?aa samahani siyo hapa kwenye blogu yangu bali huku ninakoongeza kaelimua Mlimani chuo kikuu cha Dar es salaam.LKulikuwa na mgomo na vurugu za hapa na pale watu wanalilia haki halafu watawala wahuni na wasiojali utu wa wanafunzi wanakandamiza uhuru wa kufikiri.Ngoja nikomee hapa kwani ukisoma mengi utasema nimehama nyasa yangu na kuandika yasiyonihusu.Nyasa napakumbuka kwasababu ni nyumbani na napapenda kuliko chochote.Ngoja kuna habari nimezipata kwa wanyasa nitaandika
Madhumuni
Hisia za moyo,
ng'ombo,
siasa,
vicheko
April 27, 2008
Mgomo wa Mlimani na Sherehe ya Muungano wa Tanzania
Ndugu zanguni mnyasa likuwa kimya tokana na songombingo kama siyo sekeseke na kasheshe la Mgomo wa hapa Chuo kikuu cha Dat es Salaam sehemu ya mlimani.Kwa jweli nimejikuta nikipata homa na huzuni kwani huwa sipendi haki kudhulumiwa na watawala washenzi kabisa wa aina hii.Iliniuma kutangaziwa sisi wanafunzi wa Mlimani ni wahalifu na wavutaji bangi.Lakini yote hayo yalikuwa yakifanyika ili kutimiza ngebe zao za kijinga na ushenzi wao mkubwa.Ninaandika kwa huzuni lakini wanamapinduzi kamwe hatuachi kuhoji ushenzi kama huu.Lakini kwa jina la Mwalimu Nyerere uhuru utadumu hata kama hawataki kuacha huru mapambano yanaendelea.......Naam muungano wa Tanzania,yaani natafuta picha ambazi zinaweaza kunifanya nimwone mwal;imu wangu wa kufikiri Julius Kambarage Nyerere,ngoja naendelea kuzisaka nitaiweka hapa
Madhumuni
amani na upendo,
Hisia za moyo,
soga,
vicheko
Subscribe to:
Posts (Atom)