August 18, 2008

historia hii

nimelikumbuka kanisa hili lipo pale Makwai au nakosea dadangu Yasinta.nakumbuka enzi zile nikiwa lundo

August 17, 2008

yaleyale ya kuvua kusaka kitoweo

mnyasa kwa kuwasaka samaki humuwezi yaani anajua majira ya kila aina kwa samaki mbalimbali.Karibuni nyasa,si unaona hapo walivyobize na kazi yao

August 14, 2008

kama kawaida yetu kuvua

hapo ni kama kawaida na shughuli za nyasa yetu kuvua kwa mitumbwi.umeona hiyo au haionekani