September 16, 2008

THE BOOK OF LIES

Kimeandikwa na BRAD MELTZER. niliposoma utangulizi wa kitabu hiki awali nilidhani ni dhihaka tu,nikadhani ni ngebe za hapa na pale. Lakini nilipoendelea kusoma utangulizi huo wa kitabu chenyewe nikazidi kushtuka na kuona kama makengeza. Hebu soma maneno yaliyomo katika utangulizi........'Cain kills Abel in chapter Four of the bible. It is the world most famous murder. But the Bible is silent about obe key detail: the weapon Cain used to kill his brother. That weapons is still lost to history. In 1932, Mitchell Siegel was killed by three gunshots to his chest. While mouming,his son dreamed of a bulletproof man and created the world's greatest hero; Superman. And like Cain's murder weapon, the gun used in this unsolved murder has never been found. until now. Today in Fort Lauderdale, Florida. Cal Harper comes face to face with his family's greatest secret his long-lost father,who's been shot with a gun that trces back toMichel Siegel 1932 murder. But before Cal can ask a single question, a ruthless killer tattooed with the ancient marking of Cain attacks him andhis father"..... vyanzo ni jamaa wanaitwa Barnes and Noble. Nadhani umesoma mwenyewe, na pengine ulichoka na utunzi maridadi kama huu wa hoja...kazi kwenu

September 15, 2008

wamatengo hamuyambuyambu kanono?


jamani wamatengo hamuyambuyambu? maana naona milima yenu imependeza kwelikweli, vipi mmeumbawenyewe nini? mimi leo nawaslimia tu hamuyambuyambu akina fulani huko Mbinga na kwingineko, mateka,kiyangamahuka,nyoni,ndengu na huko maguu?

September 14, 2008

homba,nchomba,somba= samaki

maneo hayo yanwakilisha neno moja tu samaki. nadhani umeona tunakwenda kazini sasa

nakupenda nyasa yangu.....upendo wa dhati

karibuni nyasa, unajua wakati mwingine naishiwa maneno ya kusfia labda mna wivu mno hata nashindwa kusifia. kazi kwenu

pale Mbinga mtaa gani?

hapa ni pale mtaa wa kanisa katoliki la Alois Gonzaga. Hayo ni baadhi ya maeneo yanayozunguka majengo yao watawa,nafikiri inapendeza sana

uzuri,utulivu na mahanjamu ya nyasa

karibuni nyasa,uzuri wetu twajivunia

hata hivi pia inawezekana

wanyasa ni mafundi wa kufinyanga vyungu kama hivi, karibuni sana bei ni poa kabisa wala msijali sana

September 13, 2008

mungu akulaze mahali pema

The 7 Day Theory= ni moja ya nadharia ya marehemu Tupac shakur ambaye alitutoka mnamo mwaka 1996 tarehe ya leo. Pamoja na mikogo ya hapa na pale hakika sijakusahau kwani naamini kama ulivyosema 'until the end of time' tutakukumbuka daima. Amina

Erick hebu nicheki mnyasa kwanza

nimeweka picha za aina moja.nimefanya makusudi ili wapinzani wangu wapate ghadhabu na kuongeza juhudi au vipi...hakuna cha Bolt wala Powell au Gebrisellasie hapa

wanyasa hamniamini......simwogopi Yasinta

Hebu nicheki, vazi nilipendalo la Taifa(jezi ya taifa), yaani kila kona mnanicheki mimi sijui nimewavutia kwa hilo pozi kwani hapo ni mapumziko ya mchana wa leo. mazoezi ni katika jua kali pumzi mithiri ya mamba/ling'wina

bado nawakilisha tu

huu ni mwanzo tu wa kujipendelea

Nawakilisha wanyasa


hakika nimedhamiria kumpiku kabisa Haile Gabrisellasie, yaani huyu na uzee wote ule. nawakilisha maofisni mpaka kwenye mageto, nawakilisha vyumbani,sebuleni mpaka kula kitoweo cha samaki. Hii kwa wote mlio na nia tutashinda London 2010 kwani Kikwete kasema sasa anashughulika na riadha. Tazama msuli huo