nadhani mwajua yanayojiri kwamba ni mwezi wa historia ya afrika huko Uingereza. Mwezi Februari ni huko Marekani. Lakini swali, JE HISTORIA YA AFRIKA IMEANDIKWA IPASAVYO? NI KWELI KWAMBA USTAARABU WA AFRIKA ULIANZIA MISRI, LAKINI NI KWELI KWAMBA MISRI HAWAKUISHI WATU WEUSI AU MAPIRAMIDI HAYAKUJENGWA NA WEUSI? tafakariJikomboe. Uhuru daima





