October 18, 2008

kunoga+utamu+uzuri = nyasa

jambo habari gani nzuri salama nyasa yetu. sikiliza habari kutoka kwetu nyasa ziwa nyasa uzuri wetu bora......

mume+mke = papo kwa papo

NA JOYCE JOLIGA, SONGEA
Ni kamba serikali ya halmashauri ya mkoa wa Ruvuma inajenga wodi ya uzazi(upasuaji. Wazazi wengi walikuwa wakijifungua katika chumba maalum na kurejeshwa katika wodi ya akina mama ambayo ilikuwa na kero nyingi. Lakini ufumbuzi huo umepatikana na waume zao wakuwa bega kwa bega katika kujifungua kwa wake zao. Hivyo kusudio hilo linafanyika baada ya kuona usumbufu wanaoupata akina mama kwa kujifungua. Waume watatakiwa kuwa karibu na wake zao hasa wale wanaopata uapsuaji wa uzazi/kujifungua kwa njia ya kupasuliwa. Maana yake sasa wanaume kushuhudia namna wake zao wanavyojifungua? Hapana bali ni kuwa karibu na wake zao hao baada ya kufanyiwa upasuaji.

NA HAPPY KULANGA, SONGEA
Wakulima wametakiwa kujiunga katika vyma vya ushirika ili kupata urahisi wa kununua matrekta madogo ya kulimia ili kuongeza tija katika sekta ya kilimo. Mkuu wa mkoa amewataka wakulima kufanya hivyo ili kuweka mazingira mazuri ya uzalishaji.

NB; unatakla kuwekeza katika Mkoa wa Ruvuma? Njoo wekeza ufaidike sasa usingoje

October 15, 2008

malaya/umalaya+uzinzi/mzinzi+uasherati/msherati/chupi mkononi/kahaba/ukahaba=UKIMWI?

Jamani hii ni kampeni ya ONE LOVE, huku ndiko unaambiwa subiri/tosheka naye/acha ngono/umalaya/uzinzi/uasherati. yaani weka neno lolote lenye maana ya jamaa anapenda ngono. kampeni ya kuwaweka sawa vijana kwamba UKIMWI unaua au kuwa waaminifu(?) sijui nini na mengine kibao, lakini mnajua kwamba kondomu zipo? mnafanyaje pale mnapokula raha zenu nyie watu? mimi sijui sababu sijui lakini najua kuna watu akina chupi mkononi n.k aiseh mambo juu ya mambo.unapomwambia binti wa miaka 16 kwamba awe mwaminifu.atosheke naye/awe na subira hivi mna maana gani? semeni huo ukimwi ni kuonjana/kutakana/kubanjuka/kubanjuana/utamu/kunoga/asali/uroda? eeeeh kama hujui kufa angalia kaburi. Simama uhesabiwe vinginevyo kaa chini usahauliwe.ONE LOVE

kunyamba mwengaa/ uzuri jamani

October 14, 2008

kama ninge...... kama ningekuwa Nabii Mwalimu Nyerere

wale wanaoabudu dini zao wana manabii wao. Nami sioni soni kukuita Nabii wa kweli kwa imani ya kiafrika wala iyo wale waliozaliwa mashariki ya kati. Mungu wetu yu pamoja nawe. kama ningekuwa wewe .........
wamatengo hamyambu yambu

October 12, 2008

hamu+utamu+uzuri+utulivu=nyasa

smaki aina ya ngorokoro
korido za Mv Ilala ambayo hufanya safari zake toka Malawi-Tanzania. hii ni mali ya Malawi na yapili kwa ukubwa baada ya Mv Mtendele