jambo habari gani nzuri salama nyasa yetu. sikiliza habari kutoka kwetu nyasa ziwa nyasa uzuri wetu bora......
October 18, 2008
kunoga+utamu+uzuri = nyasa
jambo habari gani nzuri salama nyasa yetu. sikiliza habari kutoka kwetu nyasa ziwa nyasa uzuri wetu bora......
Madhumuni
amani na upendo,
Nyasa,
urafiki,
uzuri
mume+mke = papo kwa papo
NA JOYCE JOLIGA, SONGEA
Ni kamba serikali ya halmashauri ya mkoa wa Ruvuma inajenga wodi ya uzazi(upasuaji. Wazazi wengi walikuwa wakijifungua katika chumba maalum na kurejeshwa katika wodi ya akina mama ambayo ilikuwa na kero nyingi. Lakini ufumbuzi huo umepatikana na waume zao wakuwa bega kwa bega katika kujifungua kwa wake zao. Hivyo kusudio hilo linafanyika baada ya kuona usumbufu wanaoupata akina mama kwa kujifungua. Waume watatakiwa kuwa karibu na wake zao hasa wale wanaopata uapsuaji wa uzazi/kujifungua kwa njia ya kupasuliwa. Maana yake sasa wanaume kushuhudia namna wake zao wanavyojifungua? Hapana bali ni kuwa karibu na wake zao hao baada ya kufanyiwa upasuaji.
NA HAPPY KULANGA, SONGEA
Wakulima wametakiwa kujiunga katika vyma vya ushirika ili kupata urahisi wa kununua matrekta madogo ya kulimia ili kuongeza tija katika sekta ya kilimo. Mkuu wa mkoa amewataka wakulima kufanya hivyo ili kuweka mazingira mazuri ya uzalishaji.
NB; unatakla kuwekeza katika Mkoa wa Ruvuma? Njoo wekeza ufaidike sasa usingoje
Ni kamba serikali ya halmashauri ya mkoa wa Ruvuma inajenga wodi ya uzazi(upasuaji. Wazazi wengi walikuwa wakijifungua katika chumba maalum na kurejeshwa katika wodi ya akina mama ambayo ilikuwa na kero nyingi. Lakini ufumbuzi huo umepatikana na waume zao wakuwa bega kwa bega katika kujifungua kwa wake zao. Hivyo kusudio hilo linafanyika baada ya kuona usumbufu wanaoupata akina mama kwa kujifungua. Waume watatakiwa kuwa karibu na wake zao hasa wale wanaopata uapsuaji wa uzazi/kujifungua kwa njia ya kupasuliwa. Maana yake sasa wanaume kushuhudia namna wake zao wanavyojifungua? Hapana bali ni kuwa karibu na wake zao hao baada ya kufanyiwa upasuaji.
NA HAPPY KULANGA, SONGEA
Wakulima wametakiwa kujiunga katika vyma vya ushirika ili kupata urahisi wa kununua matrekta madogo ya kulimia ili kuongeza tija katika sekta ya kilimo. Mkuu wa mkoa amewataka wakulima kufanya hivyo ili kuweka mazingira mazuri ya uzalishaji.
NB; unatakla kuwekeza katika Mkoa wa Ruvuma? Njoo wekeza ufaidike sasa usingoje
Madhumuni
kumbukumbu,
maisha,
zana
October 15, 2008
malaya/umalaya+uzinzi/mzinzi+uasherati/msherati/chupi mkononi/kahaba/ukahaba=UKIMWI?
Madhumuni
amani na upendo,
habari,
Hisia za moyo,
maisha,
mapenzi,
mila na desturi,
Nyasa,
ughaibuni,
urafiki,
utulivu,
uzuri
kunyamba mwengaa/ uzuri jamani
Madhumuni
amani na upendo,
kumbukumbu,
Nyasa
Subscribe to:
Posts (Atom)
