ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha jamani mambo juu ya mambo, kilichonifanya niblogu leo ni hiki ninachoandika achana na picha hizo hapo chini. hizo ni changamoto tu.nilikuwa mapumzikoni kwa juma moja lakini utamu wa kublogu bwana!!!!! wanaoacha na kupuuza shauri yao. basi nitawapatia ile santuri ya ETAT MAJOR ya wale vijana wa EXTRA MUSICA, nawapenda mno, au Kwaito ya MANDOZA ya zamani ile ya M DO or DIE. ha ha ha aha ha kazi kwenu mnaoacha kublogu.
DUBAI
Ingawa DUBAI imekuwa ikifanya juhudi kubwa katika biashara yake ya utalii, ikiwa ni pamoja na kujenga hoteli za kadhaa za kitalii, imetuma ujumbe kote duniani kwamba pamoja na hamu yake ya kuongeza idadi ya watalii wanaotembelea lakini haiko tayari kutelekeza utamaduni wake na sheria zake.
Ujumbe huo umetumwa kupitia kwa raia wawili wa Uingereza kwa kuhukumu kwenda jela miaka mitatu kwa kosa la kufanya mapenzi ufukweni. Michelle Palmer(36) na kidume chake Vince Acors(34) ambao siyo wanandoa. wali-BANJUKA huko ufukweni DUBAI, lakini kwa mujibu wa sheria za nchi hilo ni kosa. Jamaa walikuwa wakipigana MABUSU na inasemekana wali-BANJUKA ingawa wamekanusha KUBANJUANA huko wanatakiwa kwenda jela kosa lao kupigana mabusu.
CHANZO: gazeti makini la Raiamwema
October 22, 2008
mabusu + mabusu mpaka jela !!!!!!!!!!!
hawa nao,wanatukatishia utamu au?
tamu+tamu= lakini chungu
Madhumuni
habari,
kumbukumbu,
maisha,
mapenzi,
soga
October 18, 2008
kunoga+utamu+uzuri = nyasa
jambo habari gani nzuri salama nyasa yetu. sikiliza habari kutoka kwetu nyasa ziwa nyasa uzuri wetu bora......
Madhumuni
amani na upendo,
Nyasa,
urafiki,
uzuri
mume+mke = papo kwa papo
NA JOYCE JOLIGA, SONGEA
Ni kamba serikali ya halmashauri ya mkoa wa Ruvuma inajenga wodi ya uzazi(upasuaji. Wazazi wengi walikuwa wakijifungua katika chumba maalum na kurejeshwa katika wodi ya akina mama ambayo ilikuwa na kero nyingi. Lakini ufumbuzi huo umepatikana na waume zao wakuwa bega kwa bega katika kujifungua kwa wake zao. Hivyo kusudio hilo linafanyika baada ya kuona usumbufu wanaoupata akina mama kwa kujifungua. Waume watatakiwa kuwa karibu na wake zao hasa wale wanaopata uapsuaji wa uzazi/kujifungua kwa njia ya kupasuliwa. Maana yake sasa wanaume kushuhudia namna wake zao wanavyojifungua? Hapana bali ni kuwa karibu na wake zao hao baada ya kufanyiwa upasuaji.
NA HAPPY KULANGA, SONGEA
Wakulima wametakiwa kujiunga katika vyma vya ushirika ili kupata urahisi wa kununua matrekta madogo ya kulimia ili kuongeza tija katika sekta ya kilimo. Mkuu wa mkoa amewataka wakulima kufanya hivyo ili kuweka mazingira mazuri ya uzalishaji.
NB; unatakla kuwekeza katika Mkoa wa Ruvuma? Njoo wekeza ufaidike sasa usingoje
Ni kamba serikali ya halmashauri ya mkoa wa Ruvuma inajenga wodi ya uzazi(upasuaji. Wazazi wengi walikuwa wakijifungua katika chumba maalum na kurejeshwa katika wodi ya akina mama ambayo ilikuwa na kero nyingi. Lakini ufumbuzi huo umepatikana na waume zao wakuwa bega kwa bega katika kujifungua kwa wake zao. Hivyo kusudio hilo linafanyika baada ya kuona usumbufu wanaoupata akina mama kwa kujifungua. Waume watatakiwa kuwa karibu na wake zao hasa wale wanaopata uapsuaji wa uzazi/kujifungua kwa njia ya kupasuliwa. Maana yake sasa wanaume kushuhudia namna wake zao wanavyojifungua? Hapana bali ni kuwa karibu na wake zao hao baada ya kufanyiwa upasuaji.
NA HAPPY KULANGA, SONGEA
Wakulima wametakiwa kujiunga katika vyma vya ushirika ili kupata urahisi wa kununua matrekta madogo ya kulimia ili kuongeza tija katika sekta ya kilimo. Mkuu wa mkoa amewataka wakulima kufanya hivyo ili kuweka mazingira mazuri ya uzalishaji.
NB; unatakla kuwekeza katika Mkoa wa Ruvuma? Njoo wekeza ufaidike sasa usingoje
Madhumuni
kumbukumbu,
maisha,
zana
Subscribe to:
Posts (Atom)