November 01, 2008

mto ruvuma unaotenganisha TZ na Msumbiji

hapo sawa tu. KARIBUNI RUVUMA, WEKEZA UFAIDIKE SASA.

kama hujui njaa usile leo na kesho= milele

kilimo cha mpunga wala hatushindwi
WEKEZA RUVUMA ILI UFAIDIKE
karibuni nyasa

October 31, 2008

kuweni makini na usafiri wa meli kipindi hiki

nilisema awali kwamba katika miezi ya julai hadi katikati ya novemba ni kipindi cha dhoruba katika ziwa nyasa kwahiyo wale wasio na uzoefu wa safari za meli wanapaswa kuelewa hili ili watumie safari za magari. kwasasa dhoruba ni kubwa si kidogo tazma hiyo picha vema.

Je mungu alituumba majuha?

hivi kweli mungu alituumba waafrika kuwa majuha? soma hapa www.raiamwema.co.tz katika safu ya fikra mbadala ya Mwanafalsafa Ayoub Rioba. Namwita Mwanafalsafa kwa vigezo vyangu kwani ni muumini wa fikra zake kama ilivyo kwa Jenerali Ulimwengu na wengine

tunaweza kutunza mazingira yetu siyo samaki tu

October 29, 2008

natabasamu jamani RAHA za hapa nyasa

tazama tabasamu hilo linavyoukita. tabasamu linakuita bila kinyongo. kaja huyu je wewe uliye jirani? karibu nyasa

Raia mwema: muungwana ni vitendo

WATU WANGU, WADAU WANGU, WAPENDWA WANGU= AMANI IWE NANYI.

Nawashukuru nyote mnaonisoma na kuniunga mkono. Lakini pia niwashukuru hawa waliopo ughaibuni kwa kutumia muda wao kunipa pongezi, ingawa ni muda mrefu. Leo nasema ASANTENI SANA.
1. JOSEPH MBELE, www.josephmbele.blogspot.com & www.africonexion.com
2. RAITON MBELE www.raitonambele.blogspot.com
3. ROBERT NGALOMBA.

NAWASHUKURU SANA KWA KUNIFUATA KATIKA BLOGU YANGU. wote mnaonisoma nawapenda sana. Na ikiwa unadhani nimesahau jina lako basi naweka ................................... jaza jina lako. Au vipi waungwana!
PAMOJA DAIMA!!!!!

unatupenda au unatutega? nunua moja basi!!

je unafikiria nini unapowaona watoto kama hawa wanafanya hivi? Je katika maisha yako ulikwisha kufanya jambo hilo? Nini maoni yako?

October 28, 2008

unanipenda?? unanitega?? Je hivi utaweza??

ukinipenda haya utaweza? au unanitega kwamba unanipenda? aaa karibuni sana yaani bado tupo tupo sana nyasa, bado tupo tupo kwanza.

usafiri upo usihofu

tafadhali ukiwa na njaa kali toa taarifa