hapo sawa tu. KARIBUNI RUVUMA, WEKEZA UFAIDIKE SASA.
November 01, 2008
mto ruvuma unaotenganisha TZ na Msumbiji
Madhumuni
kumbukumbu,
Liwazo,
Nyasa
kama hujui njaa usile leo na kesho= milele
October 31, 2008
kuweni makini na usafiri wa meli kipindi hiki
nilisema awali kwamba katika miezi ya julai hadi katikati ya novemba ni kipindi cha dhoruba katika ziwa nyasa kwahiyo wale wasio na uzoefu wa safari za meli wanapaswa kuelewa hili ili watumie safari za magari. kwasasa dhoruba ni kubwa si kidogo tazma hiyo picha vema.
Je mungu alituumba majuha?
hivi kweli mungu alituumba waafrika kuwa majuha? soma hapa www.raiamwema.co.tz katika safu ya fikra mbadala ya Mwanafalsafa Ayoub Rioba. Namwita Mwanafalsafa kwa vigezo vyangu kwani ni muumini wa fikra zake kama ilivyo kwa Jenerali Ulimwengu na wengine
Madhumuni
dondoo,
falsafa,
kumbukumbu,
maisha,
siasa.
tunaweza kutunza mazingira yetu siyo samaki tu
Madhumuni
amani na upendo,
maisha,
mapenzi,
utulivu,
uzuri
October 29, 2008
natabasamu jamani RAHA za hapa nyasa
tazama tabasamu hilo linavyoukita. tabasamu linakuita bila kinyongo. kaja huyu je wewe uliye jirani? karibu nyasa
Raia mwema: muungwana ni vitendo
WATU WANGU, WADAU WANGU, WAPENDWA WANGU= AMANI IWE NANYI.
Nawashukuru nyote mnaonisoma na kuniunga mkono. Lakini pia niwashukuru hawa waliopo ughaibuni kwa kutumia muda wao kunipa pongezi, ingawa ni muda mrefu. Leo nasema ASANTENI SANA.
1. JOSEPH MBELE, www.josephmbele.blogspot.com & www.africonexion.com
2. RAITON MBELE www.raitonambele.blogspot.com
3. ROBERT NGALOMBA.
NAWASHUKURU SANA KWA KUNIFUATA KATIKA BLOGU YANGU. wote mnaonisoma nawapenda sana. Na ikiwa unadhani nimesahau jina lako basi naweka ................................... jaza jina lako. Au vipi waungwana!
PAMOJA DAIMA!!!!!
Nawashukuru nyote mnaonisoma na kuniunga mkono. Lakini pia niwashukuru hawa waliopo ughaibuni kwa kutumia muda wao kunipa pongezi, ingawa ni muda mrefu. Leo nasema ASANTENI SANA.
1. JOSEPH MBELE, www.josephmbele.blogspot.com & www.africonexion.com
2. RAITON MBELE www.raitonambele.blogspot.com
3. ROBERT NGALOMBA.
NAWASHUKURU SANA KWA KUNIFUATA KATIKA BLOGU YANGU. wote mnaonisoma nawapenda sana. Na ikiwa unadhani nimesahau jina lako basi naweka ................................... jaza jina lako. Au vipi waungwana!
PAMOJA DAIMA!!!!!
Madhumuni
amani na upendo,
Hisia za moyo,
kumbukumbu,
maisha,
Nyasa,
ughaibuni,
urafiki
unatupenda au unatutega? nunua moja basi!!
je unafikiria nini unapowaona watoto kama hawa wanafanya hivi? Je katika maisha yako ulikwisha kufanya jambo hilo? Nini maoni yako?
Madhumuni
habari,
kumbukumbu,
maisha,
Nyasa,
siasa.
October 28, 2008
unanipenda?? unanitega?? Je hivi utaweza??
ukinipenda haya utaweza? au unanitega kwamba unanipenda? aaa karibuni sana yaani bado tupo tupo sana nyasa, bado tupo tupo kwanza.
Madhumuni
amani na upendo,
Hisia za moyo,
kumbukumbu,
maisha,
mapenzi,
Nyasa
usafiri upo usihofu
Madhumuni
liuli,
mbamba bay,
Nyasa,
uzuri
Subscribe to:
Posts (Atom)



