ukiwa na njaa sana usiibe wala usidokoe sema tukugawie. huyu maarufu kama LINGOVA samaki wanaopatikana zaidi wakati wa masika. watamu sana
November 05, 2008
unakula, ulamba, unamung'unya, unadokoa=utamu tu
ukiwa na njaa sana usiibe wala usidokoe sema tukugawie. huyu maarufu kama LINGOVA samaki wanaopatikana zaidi wakati wa masika. watamu sana
Madhumuni
Hisia za moyo,
maisha,
mila na desturi,
Nyasa
Lini mliacha ubaguzi nawashangaa sana
acha niwashangae sana kwa kumchagua huyu jamaa ambaye mnadai waafrika hawana lolote? au kwakuwa mlimsomesha wenyewe? ninyi waafrika huku mnashangilia kuwazidi wamarekani nawashangaa sana? huyu atakuja kuwafundisha kuandika hotuba za Marais wenu? atawafundisha kuhusu kuwajibika na kushtaki wevi? Je unaposhangilia kumzidi Mmarekani mwenyewe unamaana gani??? poa lakini YES WE CAN, CHANGE HAS COME IN AMERICA. hONGEREA sana ewe mwana wa mvuta tumbaku wa KISUMU i love u so much my brother maana ile kujiamini kwako kumenipa somo kali au vipi Obama mwanawanePAMOJA DAIMA
kunoga tu
Madhumuni
kumbukumbu,
kwambe,
Nyasa
November 01, 2008
mto ruvuma unaotenganisha TZ na Msumbiji
Madhumuni
kumbukumbu,
Liwazo,
Nyasa
kama hujui njaa usile leo na kesho= milele
Subscribe to:
Posts (Atom)


