hebu tazama nyuso za walaji hawa, watazame kwa umakini kisha sema mwenyewe wapo katika hali gani. Kuna jambo unalojifunza? Inakufikirisha kidogo? Tunahitaji kuanza upya mapinduzi? JIKOMBOE SASA, UHURU DAIMA.
November 23, 2008
karibu tunakula, sijui utakifurahia chakula chetu..
hebu tazama nyuso za walaji hawa, watazame kwa umakini kisha sema mwenyewe wapo katika hali gani. Kuna jambo unalojifunza? Inakufikirisha kidogo? Tunahitaji kuanza upya mapinduzi? JIKOMBOE SASA, UHURU DAIMA.
Madhumuni
kumbukumbu,
maisha,
Nyasa,
urafiki
November 21, 2008
alaah kumbe wavuvi nao wanaofisi zao, kumbeeee
Madhumuni
kumbukumbu,
Nyasa
November 20, 2008
Mwl Klayson karibu sana Nyasa
November 19, 2008
zana za kazi zipo mapumzikoni
November 18, 2008
zawadi ni zawadi usambe utajiri jamani
Madhumuni
kumbukumbu,
maisha,
Nyasa,
urafiki,
wageni
November 17, 2008
kuvua dagaa usiku

dagaa wa ziwa nyasa ni watamu sana, wananoga mno, ukila unajiumauma tu hamu na kuzidi kunogea. SASA ukitazama picha hii utaona KARABAI zimefungwa mtumbwini, hapo ndipo kazi inafanyika kwani ukisha funga hivyo kazi inaanza kwenda kilindini na anyavu ya kuvulia kusaka kitoweo kunoga na utamu kuliko chochote..... ebu taja kitu kingine kitamu kuliko dagaa? najua utataja nanii....... nini ile ...... sijui ebu inaitwaje!!!! aahaa tuache, hayo. haya ndiyo mambo ya nyasa na zana zao
Madhumuni
falsafa,
kumbukumbu,
maisha,
mapenzi,
mengineyo,
mila na desturi,
urafiki,
uzuri,
wageni,
zana
kazini hakuna matata
Madhumuni
kumbukumbu,
Nyasa,
wageni,
zana
Subscribe to:
Posts (Atom)




