November 23, 2008

karibu tunakula, sijui utakifurahia chakula chetu..

hebu tazama nyuso za walaji hawa, watazame kwa umakini kisha sema mwenyewe wapo katika hali gani. Kuna jambo unalojifunza? Inakufikirisha kidogo? Tunahitaji kuanza upya mapinduzi? JIKOMBOE SASA, UHURU DAIMA.

November 21, 2008

alaah kumbe wavuvi nao wanaofisi zao, kumbeeee


mnyasa naye yupo

November 20, 2008

Mwl Klayson karibu sana Nyasa


Nasema sana KARIBU NYASA

November 19, 2008

zana za kazi zipo mapumzikoni

November 18, 2008

zawadi ni zawadi usambe utajiri jamani


picha nzuri, niliahidi kuitolea zawadi. HABARI NDIYO HIYO.