jamani wana-shajara za mtandaoni karibuni ndani. atakayepuuzia shauri yake. karibuni sana, mambo ndiyo hayo
December 10, 2008
wanablogu karibuni ndani
jamani wana-shajara za mtandaoni karibuni ndani. atakayepuuzia shauri yake. karibuni sana, mambo ndiyo hayo
kwa kweli nakupenda sana
nina HAMU ndiyo maana nakambia nakupenda sana NYASA. Gego na Fizi zinakupenda sababu ya utamu. angalia picha hiyo kwa umakini halafu niambie kama hutamani kweli!!! mmm nakupenda saaaaaana nyasaaaaaaa. karibuni
December 09, 2008
heee!!! warina asali nao !!!!!
TAMU ni yenye ladha ya sukari ambayo huridhisha kinywani. Ingawa vipo vitu vitamu vya kuhisia ambavyo havihitaji vipitie KINYWANI. Vitu VITAMU vipo vingi sana duniani. Havina hesabu. Vipo vinavyokolea UTAMU wake kwa kupikwa ama kuchemshwa au hata kukaangwa. Navyo huwa VITAMU, vipo vya kukorogwa kuchanganywa na kughushiwa ili UTAMU unoge. Kazi hiyo hufanywa na sisi binadamu wenye akili na busara. Lakini viumbe wengine wakiwemo wanyama, ndege, na wadudu husaidia kuifanya kazi hiyo adhimu wakati mwingine bila wao kujua.
VITAMU huwa VITAMU.
Lakini VITAMU viongozavyo na ambavyo huvivumilia vinaporishai katika GEGO na FIZI za kinywa ni asali. Lo masalaleee!! Huu ni UTAMU ulioje wa asali? Sijui unatoka wapi?. Sio wa kukaangwa wa kughushiwa. UTAMU wa maumbile. UTAMU huo wa asali si bure, umefanyiwa kazi kubwa. Haushuki duniani kama mvua Wapo wenyewe ambao wanatengeneza. Ni viumbe kama sisi waitwao NYUKI. Hivi huo UTAMU WA MAUMBILE Upoje??? mbona NYUKI wanatupatia UTAMU mpaka WARINA ASALI wasitake kujua mtengenezaji??
VITAMU huwa VITAMU.
Lakini VITAMU viongozavyo na ambavyo huvivumilia vinaporishai katika GEGO na FIZI za kinywa ni asali. Lo masalaleee!! Huu ni UTAMU ulioje wa asali? Sijui unatoka wapi?. Sio wa kukaangwa wa kughushiwa. UTAMU wa maumbile. UTAMU huo wa asali si bure, umefanyiwa kazi kubwa. Haushuki duniani kama mvua Wapo wenyewe ambao wanatengeneza. Ni viumbe kama sisi waitwao NYUKI. Hivi huo UTAMU WA MAUMBILE Upoje??? mbona NYUKI wanatupatia UTAMU mpaka WARINA ASALI wasitake kujua mtengenezaji??
Najua unanogea+mate yanatoka=urudi nyumbani
najua kabisa unanogea, najua nakupatia HAMU. maana najua bila hamu huwezi kukumbuka kitu. Hawa siyo sawa na dagaa kigoma wanaochacha kama wa enzi zile za KIGONSERA a.k.a CAIGO BOYS, umenisoma kaka Mtanga ha ha ha ha Nina HAMU ndiyo ndiyo maana nakwambia haya. Watazame walivyoanikwa mchangani vizuri halafu unapata NG'ONDA upo hapo. RUDI NYUMBANI ha ha ha ha ha
Madhumuni
maisha,
mila na desturi,
Nyasa,
urafiki,
wageni
December 08, 2008
aaaah!! nina HAMU !!!
Nina hamu sana unajua? Nina hamu ndiyo maana nakwambia nina hamu mpaka nashindwa kujizuia. Nina hamu mpaka nataka kulia. Si hamu nyingine bali ya kukusalimia MAMBO? aaaaaah umnielewa huna hamu ya DAGAA wewe?
Madhumuni
kumbukumbu,
mila na desturi,
Nyasa
kazi+juhudi+ubunifu+mapenzi=MAISHA
maisha tu haya kama utapenda nunua tu utakuwa umenisaidia sana maana mwanangu namsomesha kwa kutegemea hii kazi yangu. Nahiheshimu sana. Ni kama anasema hivyo
Madhumuni
maisha,
mapenzi,
mila na desturi,
wageni,
zana
December 06, 2008
njoo unangoja nini, mwenzio nafaidi
Madhumuni
amani na upendo,
maisha,
Nyasa
maandalizi ya Noeli, karibu
Madhumuni
kumbukumbu,
Nyasa,
ughaibuni,
urafiki,
wageni
Subscribe to:
Posts (Atom)
