dada Mary Mbunda akiwa katika shughuli za nyumbani. Yuko pale Lituhi kwa rafiki yangu mkubwa RAYMOND NDOMBA {much Respect Brother} najua tupo pamojadaima kama samaki na maji au mizizi na ardhi Mkuu
December 17, 2008
naipenda sana picha hii
dada Mary Mbunda akiwa katika shughuli za nyumbani. Yuko pale Lituhi kwa rafiki yangu mkubwa RAYMOND NDOMBA {much Respect Brother} najua tupo pamojadaima kama samaki na maji au mizizi na ardhi Mkuu
Madhumuni
amani na upendo,
Hisia za moyo,
maisha,
mapenzi
maneno ya Al-rawahy hilal
"Hi, Brother, Nimefurahi zaidi kwa ushindi wa Taifa Stars. Hongera kubwa kwa Taifa Stars na JK na WADAU WOTE WA BLOG YAKO, Hongera Bongo na watanzania wote popote walipo mimi ni mdau mkubwa wa blog zote za Bongo, napenda kufuatilia na kujua habari zote, nakuomba kama ndugu upost furaha yangu hii na hongera zangu hizi kwa wadau wote kwa ushindi mkubwa wa kuingia fainali za kombe la afrika, Tunaombea zaidi Stars wafanye vizuri katika michuano hiyo kila la kheri amin"
http;//www.borntosuffer1.blogspot.com
hilal24356@yahoo.vom
NB; ujumbe huu ulitumwa nyasa desemba 14.2008 kwahiyo waungwana wote Raha na shangwe kwa ushindi wa Stars
http;//www.borntosuffer1.blogspot.com
hilal24356@yahoo.vom
NB; ujumbe huu ulitumwa nyasa desemba 14.2008 kwahiyo waungwana wote Raha na shangwe kwa ushindi wa Stars
December 16, 2008
yote maisha+ipo siku yatakwisha.....
karibu sana wala usiogope ndugu, karibu nyumbani maskani wala usitie shaka. hapa ndiyo nyumbani karibu sana
Madhumuni
kumbukumbu,
maisha,
urafiki,
wageni
tunasaka kitoweo cha Noeli hii
nadhani haya mambo toka babu na bibi mpaka mjukuu anatumia tu hakuna matata. jamani hebu waangalie mazingira yao ya kazi, yanakufikirisha? mimi sijui bwana
December 14, 2008
kumbikumbi+joto+pangaboi =MAPENZI
Utamu wa raha ni heshima, upendo na amani. Wawili huwa kama kumbikumbi na wengine hujiona kama JOTO na PANGABOI. Ndiyo Joto hupozwa na Panagaboi. Na yule umpendaye hakuna MWISHO haijalishi kama yuko mbali,karibu,jirani. Utamu wa roho na kupenda kwa moyo heshima ni kigezo kwani hata MOYO wako hunena kwa raha. Nikupe nini mziwanda wangu, KUMBIKUMBI wangu au nifanye nini ewe PANGABOI wangu? Moyoni najua naumia lakini naamini hakuna mwisho kwani NAKUPENDA. Najua kila MAWIO na MACHWEO hakuna MWISHO wa Penzi letu. Niambie basi nifanye nini,nikupe nini je niandike ujumbe mfupi kwako kila sekunde?Basi nina JOTO nawe ndiwe PANGABOI wangu nipulizie upepo nipe ubaridi ili nipunguze HARARA, wajua naandika huku nina simanzi? wajua kama ninasambaratika? Ooooooh nipe JOTO nikupe PANGABOI. Njoo basi tuongozane kama KUMBIKUMBI na MAPENZI yetu yadumu. HAKUNA MWISHO WA PENZI.Akupendaye mnyasa mvuvi mahiri, mkulima satadi na mtafuta FARAJA kwako. MWAAAAAAAAAAAAAAAH
mimi Markus Mpangala wa kijijini.
NB; Asante dada Yasinta kwa Picha hii. PAMOJA DAIMA!!
Madhumuni
kumbukumbu,
maisha,
mapenzi,
Nyasa,
ughaibuni
hureeeeeee ayeyaaaaaah
Madhumuni
amani na upendo,
soka,
uzuri
Subscribe to:
Posts (Atom)