Ninachoajaribu kwa taswira ya ukahaba, bali mambo mengi ya utalii na mikutano mbalimbali.
Masuala ya kibiashara na mengineyo.
Lakini hili kwangu siyo geni ila sikuwahi kujikita kulijua zaidi kama nilivyojikita sasa, natambua jirani zangu pale flats za mtaa wa Ohio wanaelewa kinachojiri au wale washkaji wa Undali mitaa ya mahakama ya ardhi wanajua ninachoongelea hapa.
Nashukuru maoni ya wasoamji lakini nasema hivi jamani haya ni matokeo ya tatizo na aidha kifamilia au mfumo mzima wa maisha ya jamii yetu. Mfumo wa jamii yetu ninamaana kwamba kutokana na muundo wetu wa kuihsi na kujichagulia viongozi.
Najua ukahaba haupo hapa pekee, na bahati mbaya dakika chache zijazo narejea nyumbani. Sasa nimeongea na wengi sana hadi nikaambiwa 'MARKUS UNAPENDA SANA NGONO' lakini hapa unajivunga tu. Jawabu langu ni ndiyo napenda kupindukia lakini je siwezi kuwa na SPIDI GAVANA?
Haya wanasema ni biashara mbaya ya ukahaba lakini inarahisha kwani unapata wateja kwa uhakika zaidi kutokana na kuingia kwa wageni na kutoka kwao, na wahitaji ni wengi katika miaka ya karibuni toka wenye wake zao au wanawake walioolewa kwani wapo wanaume wanaowastarehesha wanawake ambao wengine wamekuja huku kuwakuna wanawake wazima na akili zao tena wake za watu wanaheshimika katika maofisi ya umma nchini.
sasa hawa wanasema maisha yanabadilika na biashara ya ukahaba inashamiri kwakuwa wimbi la wanaume kuhitaji huduma hiyo kwani wanaume wengi sasa wapo wasiohitaji kuwa na wanawake wa kudumu hivyo kuhitaji huduma hii ya ukahaba. Sasa sijui wewe unasemaje muungwana kama unaambiwa ni biashara mabaya lakini inarahisisha maisha yao.......
March 12, 2010
SAWA NI BIASHARA MBAYA, LAKINI ............................
Madhumuni
habari,
kumbukumbu,
maisha
March 10, 2010
KWANINI UMEAMUA KUWA KAHABA? mmh Swali Gumu!
Ni kweli jamani mambo siyo haya tena, na kweli tunatakiwa kuwa makini. Lakini je ni kweli kwamba baadhi wa wanawake wanaamua kuwa makahaba kwasababu gani? Jamani ilibidi niombe radhi baada ya kumhoji binti fulani kwamba kwanini ameamua kuwa kahaba, kwanza alinitazama na kisha akaniuliza shida yako ni kwanini nimekuwa kahaba aua unataka nikupe huduma?
Ni kweli ikabidi niwe mpole, nikatuliza munkari, nikaanza kuongea kirafiki na binti huyo kwani sikuwa peke yangu bali rafiki zangu pia tumejumuika pamoja tunauliza swali hili.
Jawabu la binti huyu ni kwamba 'MAISHA', nikauliza tena je unaifurahia kwakuwa inakuingizia kipato? Nikajibiwa ni swali gumu kulijibu na nisingependa kuongelea hilo.
Nikawa na adabu, nikajaribu kudodosa tena, unajiamini vipi kukubalia kulipwa 10000 bila kutumia kondomu, na 5000 kwa kondomu? Nikajibiwa..... naomba iwe mwisho.... halafu akanitusi mse***** nini,. Ni matumaini yangu hakunilewa lakini baada hakika nakwambia akawa rafiki mwema tu licha ya kazi ya kuuza mwili wake.
Yaani ndani ya nusu saa amehudumia watu wawili wa vyumba tofauti, halafu katika trip hii kuna watu wana wake zao, na wanajivinjari kana kwamba wake zao hawawatoshi, na utadhani hii ni tour ya mwaka mzima wakati ni siku chache tu.
Suala la msingi nimejifunza sana neno 'MAISHA' kwasababu kila unayeongea naye kishkaji anakwambia MAISHA MTU WANGU. Sasa hapo najiuliza tufanye nini ili kuwaondoa watu katika ngome hiyo waliyopo? Sasa kwasababu wanalalamikia kuwa MAISHA, ni wazi hawa ni wahanga wa MAISHA ya kila siku, lakini ni MAISHA gani hayo?
Bila shaka nawe msomaji unaelewa anapokujibu MAISHA, na ikafika mahali kuna binti aliangusha kilio, tukamwomba msamaha, endapo tunamwudhi, lakini hakika nimebaini makahaba hawa kila mmoja analo DUKUDUKU lake, lakini hawajapata mahali sahihi pa kulisema suala hilo. Sijui ni DUKUDUKU gani, na labda ni MAISHA MTU WANGU.
Jamani nipo fasta nabasti kama pancha, sasa tunaenda zetu makumbusho ya watu wa kale hapa. Hii ndiyo BAGA-HEART mji mtamu nimeupenda jamani hadi raha......halafu mmoja akasema... nyie jamaa poa sana, oyaa nitakupeni namba zangu au vipi mkija tena tuwasiliane...... ha ha ha ha nikupe namba msomaji nawe upatiwe HUDUMA? Thubutu.... sikupi ng'ooooooooooooooooooooooooooooooooo, utajijuuuuuuuuuuu
Ni kweli ikabidi niwe mpole, nikatuliza munkari, nikaanza kuongea kirafiki na binti huyo kwani sikuwa peke yangu bali rafiki zangu pia tumejumuika pamoja tunauliza swali hili.
Jawabu la binti huyu ni kwamba 'MAISHA', nikauliza tena je unaifurahia kwakuwa inakuingizia kipato? Nikajibiwa ni swali gumu kulijibu na nisingependa kuongelea hilo.
Nikawa na adabu, nikajaribu kudodosa tena, unajiamini vipi kukubalia kulipwa 10000 bila kutumia kondomu, na 5000 kwa kondomu? Nikajibiwa..... naomba iwe mwisho.... halafu akanitusi mse***** nini,. Ni matumaini yangu hakunilewa lakini baada hakika nakwambia akawa rafiki mwema tu licha ya kazi ya kuuza mwili wake.
Yaani ndani ya nusu saa amehudumia watu wawili wa vyumba tofauti, halafu katika trip hii kuna watu wana wake zao, na wanajivinjari kana kwamba wake zao hawawatoshi, na utadhani hii ni tour ya mwaka mzima wakati ni siku chache tu.
Suala la msingi nimejifunza sana neno 'MAISHA' kwasababu kila unayeongea naye kishkaji anakwambia MAISHA MTU WANGU. Sasa hapo najiuliza tufanye nini ili kuwaondoa watu katika ngome hiyo waliyopo? Sasa kwasababu wanalalamikia kuwa MAISHA, ni wazi hawa ni wahanga wa MAISHA ya kila siku, lakini ni MAISHA gani hayo?
Bila shaka nawe msomaji unaelewa anapokujibu MAISHA, na ikafika mahali kuna binti aliangusha kilio, tukamwomba msamaha, endapo tunamwudhi, lakini hakika nimebaini makahaba hawa kila mmoja analo DUKUDUKU lake, lakini hawajapata mahali sahihi pa kulisema suala hilo. Sijui ni DUKUDUKU gani, na labda ni MAISHA MTU WANGU.
Jamani nipo fasta nabasti kama pancha, sasa tunaenda zetu makumbusho ya watu wa kale hapa. Hii ndiyo BAGA-HEART mji mtamu nimeupenda jamani hadi raha......halafu mmoja akasema... nyie jamaa poa sana, oyaa nitakupeni namba zangu au vipi mkija tena tuwasiliane...... ha ha ha ha nikupe namba msomaji nawe upatiwe HUDUMA? Thubutu.... sikupi ng'ooooooooooooooooooooooooooooooooo, utajijuuuuuuuuuuu
Madhumuni
amani na upendo,
habari,
kumbukumbu,
maisha,
mapumziko
Subscribe to:
Posts (Atom)

