May 31, 2010
Mv Ilala, kazini, bandarini MBAMBA BAY
Hii ni meli kutoka Malawi, hapa ilikuwa pale bandarini Mbamba Bay. Hii ni bandari salama sana KARIBU SANA NYASA, karibuni unufaike na biashara zako na maisha kwa ujumla
Madhumuni
mbamba bay
PENDEKEZO LA WASTANI LA MFUMO MFUMO WETU WA UTAWALA
Pendekezo la wastani la mfumo wetu wa utawala.
Na Markus Honorius Mpangala, Mbinga-Ruvuma
Na Markus Honorius Mpangala, Mbinga-Ruvuma
Msingi mkubwa wa kujitawala ni maamuzi ambao yanasimamia madhumuni yaliyomo katika makabrasha yetu. Maamuzi haya yanawalenga watu wetu waliomo bila kujari kabila,nasaba na uenyeji wao. Ilimradi walengwa ni raia halali wa Tanzania.
Ziko njia nyingi za maamuzi ambayo humaanisha muundo wa utawala. Njia hizi hushirikisha pamoja kati ya wananchi,serikali yao na wawakilisha wa majimbo,kata na kadhalika. Mfumo huu unajikitia kuonyesha kuwa taifa letu linaoubunifu wake kiutawala.
Tunaweza kuunda mifumo mipya au kuikarabati ile ya zamani katika ngazi za mikoa,wilaya,tarafa, kata na vijiji. Maeneo haya ndiyo huunda taifa ambalo leo tunajivunia na kujiita Watanzania wenye Jamhuri ya Tanzania.
Usipitwe Isome
Madhumuni
uchambuzi
May 30, 2010
UMEWAHI KUFIKIRIA HILI KUHUSU SISI WANADAMU????/
KUNA MTU UMEWAHI KUMCHUKIA?? UNADHANI KUNA WATU WAMECHAGULIWA NA MUNGU??
......Ndiyo wapo wanaofikiria hilo,,,
Ndiyo maana wanaona wako karibu na Mungu.......... NINACHOJUA na kukiamini ni kuwa kila kiumbe duniani ni CHAGUO LA MUNGU, maana bila Mungu hakuna kitu kinachoweza kuwepo. Ndiyo maana hata SHETANI ni chaguo la Mungu, kama siyo chaguo la Mungu basi asingeumbwa.
SASA......... Mungu alitupatia akili na utashi ili tujue mema na mabaya kati yetu ili tumpendeze yeye tu. Twaweza kuishi hata bila chakula katika mazingira fulani lakini bila Mungu hatuwezi kuishi. Najua kila mtu duniani hata wewe unayesoma hapa ni CHAGUO LA MUNGU.
Waungwana nimeipenda hii kitu ya kutoka kwa FALSAFA YA ISANGO inayoandikwa na Josephat Isango au Misango.
Stori ya kipengele cha kukosoa dini leo nimeweka kando aiseeeee., lakini hata hii imekuwa poa. Mtani Fadhy upo hapo???? Da Mija, unasemaje, mtakatifu mungu wa wapare.... Ruksa kubishia Lol.....
......Ndiyo wapo wanaofikiria hilo,,,
Ndiyo maana wanaona wako karibu na Mungu.......... NINACHOJUA na kukiamini ni kuwa kila kiumbe duniani ni CHAGUO LA MUNGU, maana bila Mungu hakuna kitu kinachoweza kuwepo. Ndiyo maana hata SHETANI ni chaguo la Mungu, kama siyo chaguo la Mungu basi asingeumbwa.
SASA......... Mungu alitupatia akili na utashi ili tujue mema na mabaya kati yetu ili tumpendeze yeye tu. Twaweza kuishi hata bila chakula katika mazingira fulani lakini bila Mungu hatuwezi kuishi. Najua kila mtu duniani hata wewe unayesoma hapa ni CHAGUO LA MUNGU.
Waungwana nimeipenda hii kitu ya kutoka kwa FALSAFA YA ISANGO inayoandikwa na Josephat Isango au Misango.
Stori ya kipengele cha kukosoa dini leo nimeweka kando aiseeeee., lakini hata hii imekuwa poa. Mtani Fadhy upo hapo???? Da Mija, unasemaje, mtakatifu mungu wa wapare.... Ruksa kubishia Lol.....
Madhumuni
wazo
May 29, 2010
SAFARI NJEMA DADA Diesmal
Kwanza nashukuru kunitumia picha hii baada ya kutua mjini Mbinga. Nadhani umekumbuka Frankfurt au uwongo ha ha ha na kiswahili chako kibovu eti 'nim'pika mbinga' badala ya kusema 'nimefika mbinga'. Usijali kazana safari ni ndefu hadi kuifikia Litembo dada halafu unasema una usongo wa kujimwaga kwetu nyasa.
Haya yangu mie macho tu, nakusubiri kwa hamu nadhani umeiona Mbinga sasa kazana tu mana hapo ndipo palipo nikuza na kunijuza ukiacha nyasa kwetu. Safari njema.
Hey mnasemaje kikwetu Diesmal? ha ha ha ha nimekumbuka ile lugha ngumu mweeeeeeeeeee, ha ha ha ha haya najaribu
Gut sein reise madchen, i liebe du Diesmal......
Ein kind bekommen....... lol
Diesmal natisha siku hizi naijua hii lugha, ha ha ha ha ha ha kideuctland chenu siyo? nami nimo eboooo! Dada Yasinta upo hapo? toto linajimwaga nyasa,litembo,kindimba na kadhalika, hebu mtakie safari njema au? Lol
Haya yangu mie macho tu, nakusubiri kwa hamu nadhani umeiona Mbinga sasa kazana tu mana hapo ndipo palipo nikuza na kunijuza ukiacha nyasa kwetu. Safari njema.
Hey mnasemaje kikwetu Diesmal? ha ha ha ha nimekumbuka ile lugha ngumu mweeeeeeeeeee, ha ha ha ha haya najaribu
Gut sein reise madchen, i liebe du Diesmal......
Ein kind bekommen....... lol
Diesmal natisha siku hizi naijua hii lugha, ha ha ha ha ha ha kideuctland chenu siyo? nami nimo eboooo! Dada Yasinta upo hapo? toto linajimwaga nyasa,litembo,kindimba na kadhalika, hebu mtakie safari njema au? Lol
Madhumuni
amani na upendo,
ughaibuni,
urafiki
May 27, 2010
HAPO VIPI?
May 26, 2010
WASOMI WETU, WANALILIA UPONYAJI!
Na: Albert Sanga, Tumaini University, Iringa
Nimeamua kuandika makala hii baada ya kutafakari kwa kina swali ambalo liliulizwa na kijana wa kitanzania kupitia katika mtandao wa internet. Kijana huyu anayefahamika kwa jina la Raymond Magambo, ni mwanafunzi wa shahada ya sayansi ya kompyuta Chuo Kikuu Cha Dodoma; anamiliki blogu inayofahamika kwa jina la {raymagambo.blogspot.com}. katika moja ya kurasa za blogu yake ameuliza swali lifuatalo “are the university students in Tanzania well prepared to bring changes in the country? Why?” tafsiri ya Kiswahili ya swali hili ni “Je wanafunzi wa vyuo vikuu katika Tanzania wanaandaliwa vema kuleta mabadiliko nchini? Kwa nini?”.
Kwa bahati nzuri sana ninamfahamu vema huyu kijana Raymond Magambo kwa sababu nilisoma naye kidato cha tano na sita pale Ilboru Sekondari. Ni moja ya vijana ambao wamekuwa na ndoto za kuona wanafanya vitu vya tofauti na vyenye historia za pekee katika dunia hii.
Vijana wa jamii kama ya Raymond Magambo hakika ndio wanaohitajika sana katika kuleta mabadiliko kwa jamii hasa ya kitanzania. Ukiona kijana kama huyu angalau anahoji uthamani na uwezo wa elimu anayoipata basi uwe na uhakika kuwa kuna mambo anatamani yafanyike katika namna fulani ambayo ni nzuri zaidi. Hawa ni watu ambao mimi nawaita “wanamapinduzi wa kutuokoa katika utumwa tuliouridhia”
Madhumuni
kumbukumbu,
maisha,
wageni
Subscribe to:
Posts (Atom)


.jpg)