July 24, 2010

KUTOKA BAGAMOYO waungwana

                                                                      DARASANI
DARASA
Nipo hapa mjini huu wa watu wetu. Wakati nimetoka chumbani na kuingia chumba cha kupumzika nikaona nichezea Kompyuta kidogo tu. Nimekaa katika hii kompyua nimefanya ukaguzi nimeona picha hizi, hivyo siyo vibaya tukashirikishana katika KUWAZA na KUJADILI MUSTAKABALI wa vijana hawana...........,...