Nimetua kwenye mji huu. na sitanii hali naona pilikapilika zinaongezeaka sana. Lakini ni za kwaida tu. Kwahiyo wewe unapenda sanaa? Unangoja nini sasa mambo yanakujia kesho kuna watu wengi hapa ambao wanazo dalili za kuwa wamekuja kama mzee wa lundunyasa kushadadia utmaduni wa mtu mweusi na kujua tamaduni za wale jamaa zangu wenye ngozi inayobadilika badilika kila wanavyozidi kuzeeka wenyewe wanajiita wazungu..... mimi huwaita wasungu. Ni maonyesho ya 29 ya kimataifa kuhusu sanaa. yanafantika mji huu kwa mara nyingine.
Usipitwe karibuni jamani au vipi? Nimeingia nipo hapa kwa raha zangu. Kazi kwako
September 26, 2010
USIPITWE; MAONYESHO YA KIMATAIFA BAGAMOYO SEPTEMBA 27-KESHO
Madhumuni
bagamoyo,
Hisia za moyo
September 21, 2010
TUACHE UFEDHULI
MAISHA HAYA YANATUPATIA PICHA GANI
WATU TUMEKUWA WAKATILI KIASI HIKI?
hebu soma hapa mwenyewe ujioneeTUACHE UFEDHULI
WATU TUMEKUWA WAKATILI KIASI HIKI?
hebu soma hapa mwenyewe ujioneeTUACHE UFEDHULI
Madhumuni
habari,
Hisia za moyo,
kumbukumbu
Subscribe to:
Posts (Atom)