Na wanajua utamu wa lugha ya Kiswahili ndiyo maana wanajikita katika kujua na kuhitaji sura mpya ya jamii. Ni katika kujua tamaduni,lugha,mila na desturi za Kiswahili. Picha ya ya juu ni wadau wa SOAS(School of Oriental and African Studies) pale London. Katika picha hiyo walikuwa Zanzibar. Na picha ya chini ni katika kuifurahia ile ladha ya kiswahili, na jumuiya yenyewe. Kswahili lugha tamu.
PICHA; kwa hisani ya SOAS.

