hakika nimedhamiria kumpiku kabisa Haile Gabrisellasie, yaani huyu na uzee wote ule. nawakilisha maofisni mpaka kwenye mageto, nawakilisha vyumbani,sebuleni mpaka kula kitoweo cha samaki. Hii kwa wote mlio na nia tutashinda London 2010 kwani Kikwete kasema sasa anashughulika na riadha. Tazama msuli huo
unawakilisha kuvua samaki au.
ReplyDelete