KARIBUNI NYASA
November 05, 2008
unakula, ulamba, unamung'unya, unadokoa=utamu tu
ukiwa na njaa sana usiibe wala usidokoe sema tukugawie. huyu maarufu kama LINGOVA samaki wanaopatikana zaidi wakati wa masika. watamu sana
1 comment:
Yasinta Ngonyani
05 November, 2008
LINGOVA ni kiswahili au kinyasa? ha ha ha mwe
Reply
Delete
Replies
Reply
Add comment
Load more...
Maoni yako
‹
›
Home
View web version
LINGOVA ni kiswahili au kinyasa? ha ha ha mwe
ReplyDelete