Kuna habari moja imenifurahisha sana. nimjikuta nikiwa katika tafakari kuhusu habari yenyewe. lakini ni jambo muhimu kukumbuka mambo ya nyumbani nyasa kwa wale mliopo ughaibuni.Hii habari lazima tuitafakari sisi wanyasa ambao tumeishi sana na wamisionari hivyo twayajua mengi.Soma habari nzima ,bonyeza hapa
www.ruhuwiko.blogspot.com inahusu namna maisha ya wazungu yanatawaliwa na ubinafsi na kujitegemea mwenyewe kinyume na wanyasa tuombao chumvi kwa majirani zetu.ughaibuni haipo hiyo....utaomba kwa nani
No comments:
Post a Comment
Maoni yako