KARIBUNI NYASA
November 04, 2013
HONGERA MDAU WETU WA WILAYA YA NYASA
VITUS MATEMBO ametunukiwa shahada yake ya kwanza ya chuo kikuu aliyohitimu karibuni na sherehe kufanyika huko Moshi, mkoani Kilimanjaro. Tunamtakia mafanakio mema na ataendelea kutuhabarisha mambo mengui kuhusu Wilaya ya Nyasa
No comments:
Post a Comment
Maoni yako
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment
Maoni yako