KARIBUNI NYASA
August 24, 2014
UZURI WA FUKWE ZA NYASA
Mnaysa mwenzetu kaka Jerome Maendaenda, kila mwaka huiepeleka familia yake nyumbani Nyasa kutoka Dar es salaam. Hapa wakiwa wanafurahia maji ya ziwa Nyasa katika ufukwe wa Mbamba Bay.
KARIBUNI NYASA
No comments:
Post a Comment
Maoni yako
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment
Maoni yako