Fredy Msumba anasema , "Leo niliona niwatembelee ndugu zetu wa Kongo na Waburundi, maisha ndo hayo, big up Tanzania, I love Tanzania. Karibu Kigoma bado nipo. Nakuambia kaka, ukija huku hutatamani kurudi Dar es salaam, ndio maana hawa jamaa hawataki kurudi kwao, kuzuri sana huku.
No comments:
Post a Comment
Maoni yako