“Mheshimiwa Kakunda (Joseph –Naibu Waziri Tamisemi)
nakuagiza kuanzia leo maana wewe ndiyo nimekukabidhi jukumu la elimu, nataka
mtihani wa 2019 shule za vipaji zote 22 ziongoze mtihani wa Taifa na shule
binafsi ziwe nyuma, lakini tuongoze kwa halali si ubabaishaji hapo ndipo shule
binafsi za makanjanja zitajifuta zenyewe,”
-Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi, Selemani Jafo.
No comments:
Post a Comment
Maoni yako