June 29, 2008

Sitaki Ushahidi....Je ndivyo Ilivyo?

Naandika haraka haraka leo nina mpango wa kwenda kuogelea mpaka usiku kwani kila siku natumbukia tu kidogo lakini leo ni kuogelea kwelikweli.Mmmm sasa ebu tazama katuni hiyo halafu fikirisha ubongo wako.Jaribu kujenga picha ya watoto yatima kisha fikiria wanaolea watoto hao halafu jaribu kuyafikiria mahitaji ya kiuchumi yaani kipato cha maisha.Sitaki kutoa jawabu ila jaribu kutafakari.KWA HERI mimi sitaki ushahidi lakini ndivyo ilivyo?.Ooo sijasahau...karibu sana kaka Mbilinyi katika gazeti hili la nyasa.....karibu ule vitoweo vitamu......Jamani nakwenda kuogelea webnzangu wameshaanza ona waleeee..huwaoni?utajiju..

No comments:

Post a Comment

Maoni yako