October 22, 2008

tamu+tamu= lakini chungu

harakati za kupiga vita ukimwi ndiyo hizo, sasa msifikirie hapa nyasa hatufanyi hivyo. Lakini swali kweny tuta utamu nao una ukakasi? mmm utamu utaliwa kwa maganda? ebo mnyasa vipi miye? oooh najiuliza tu

No comments:

Post a Comment

Maoni yako