![]() |
| MARKUS MPANGALA |
SALAAM nyi wasomaji wetu
wapendwa!
Ni matumaini yetu nyote mna afya njema na Mwenyezi Mungu amewajalia
hilo bila hiyana. Tumshukuru zaidi.
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitoa huduma ya habari za mwambao
wa Ziwa Nyasa na yatokanayo na wilaya ya Nyasa, mkoani Ruvuma. Nimekuwa
nikifanya hivi kama mapenzi yangu tu (bila kutafuta faida yoyote ya fedha). Sikulipwa
chochote kwa kutoa huduma hiyo ya kutangaza vivutio vya utalii, utamaduni,
changamoto na mambo mseto ya wakazi wa maeneo hayo.
![]() |
| KIZITO MPANGALA |
Nilianzisha blogu hii mwaka
2007 nikiwa mwanafunzi kwa mapenzi yangu baada ya kupata somo kubwa kutoka kwa
mwanablogu mashuhuri Ndesanjo Macha na msaada wa karibu wa mchoraji katuni
maarufu Simon Regis. Wakati huo Macha alikuwa akielezea umuhimu wa nyenzo
nyingine za upashanaji wa habari kama njia nyingine ya kuifikia jamii na kukuza
uchumi pamoja na kuhifadhi taarifa za ukanda wa ziwa Nyasa. Leo hii ukiingia
mtandao wa kama wa Google kutafuta taarifa za mwambao wa ziwa Nyasa utakutana
na mengi yaliyoandikwa kwenye blogu hii kuliko Kamusi Elezo Huru ya mtandao
wowote.
HIVYO basi… Napenda kuchukua
nafasi hii kuwajulisha, tangu Machi 26, 2018, nilisitisha kutoa huduma ya
taarifa za ukanda wa Nyasa iwe kwa njia ya picha au maneno. Tunawashukuru wasomaji
wetu 664,299 mlioshirikiana nasi, ndani na nje ya nchi kwa ushauri au kuliza
mengi kuhusu maeneo hayo na kuomba maelekezo mbalimbali pamoja na wale
walioamua kuchukulia Blogu hii kama nyenzo ya kupata taarifa za utalii mwambao
wa Nyasa na maingizo mapya yaliyoanza mwaka 2018, Tawasifu, uchambuzi kuhusu
Nyasa, utafiti zaidi wa maeneo ya vivutio, Mitazamo na kadhalika.
![]() |
| HONORIUS MPANGALA |
Kutokana na sababu zilizo nje
ya uwezo wangu, nimeamua kusitisha kutoa
huduma katika blogu hii kwa MUDA USIOJULIKANA. Wakati ninawashukuru wasomaji,
pia napenda kutoa shukrani zangu kwa wadogo zangu wapendwa, Honorius Mpangala
na Kizito Mpangala kwa kuandika bila kuchoka pamoja na kuendeleza mapenzi yao
kuhusu nyasa, historia na kadhalika.
Namshukuru pia rafiki zangu Fadhy
Mtanga, Yasinta Ngonyani, Profesa Joseph Mbele kwa ushauri kuhusu Nyasa na
mipango ya maendeleo. Tunamshukuru kila mmoja aliyeshirikiana nasi kuhifadhi
taarifa ambazo hazipo kwenye makabati yetu, na hazikuandikwa awali.
MUHIMU:
Kwa sasa unaweza kutembelea ukurasa wa ‘Lundu-Nyasa”@KijijiChaLundu katika
mtandao wa Facebook. Karibuni huko.
Markus
Mpangala,
Mwanzilishi
na Mmiliki
Mei
5/2018
Dar
es salaam, Tanzania
KWAHERINI



Mume wangu amerudi!!! Baada ya miaka 1 ya ndoa iliyovunjika, mume wangu aliniacha na watoto wawili na maisha yangu yalivunjika. Nilitaka kuyamaliza, nusura nijiue maana alituacha bila chochote. Nimekuwa nimevunjika kihisia wakati huu wote na maisha yanaonekana kutokuwa na maana. Siku moja mwaminifu, nilipokuwa nikivinjari mtandao, nilikutana na baadhi ya shuhuda kuhusu Dk DAWN. Baadhi ya watu walishuhudia kwamba alimrudisha mpenzi wao wa zamani, wengine walishuhudia kwamba anarejesha tumbo na kuponya magonjwa kwa mimea. Nilipendezwa zaidi na upatanisho na mume wangu, ambao Dk. DAWN aliwezesha kumrudisha mume wangu ndani ya siku 3. Sasa mume wangu amerudi na tumekuwa tukiishi kwa furaha tangu wakati huo. Shukrani zote kwa Dk DAWN. Hapa, ninaacha mawasiliano yake kwa kila mtu. Maana kuna changamoto za aina yoyote,
ReplyDeleteBarua pepe ( dawnacuna314@gmail.com )
Whatsapp: +2349046229159
Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.
ReplyDeleteMwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.
Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.
Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.
Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.
Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
dawnacuna314@gmail.com