September 28, 2017

SOKO MAARUFU LA MWANGA KIGOMA MJINI.



Nilikuwepo tutaonana siku nyingine mungu akinirejesha tena katika Ardhi hii ambayo nafurahi kuijua,hakuna tofauti na kwetu Songea kijiografia na hata hali ya hewa kama nyumbani Lundu, Nyasa.

Nawaandalia bonge la makala kuhusu soka la Mkoa wa Kigoma baada ya kukutana na Mdau mkubwa NASSORO HAMDUNI,mwamuzi na diwani wa manispaa ya Kigoma/Ujiji..

Na Honorius Mpangala

No comments:

Post a Comment

Maoni yako