September 29, 2017

SOMO LA LEO

Kulala kwa muda mrefu kunasababisha  upweke. Utafiti unaonyesha kuwa watu wapweke wanatumia muda mwingi wakiwa kitandani licha ya kujua hatari zinazotokana hali hiyo. Upweke husababisha kudhani kitandani ni sehemu muhimu zaidi hata kama wakiwa hawana uchovu.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako