September 27, 2017

UHONDO WA KITABU

Wahenga wanasema kitabu ni sila. Mwanamke huyu alikutwa akisoma kitabu ndani ya Basi la Mwendokasi kati ya Mbezi-Posta kupitia barabara ya Morogoro jijini Dar es salaam. 
Usomaji wa vitabu huongeza maarifa.

Mwanamke huyu alikutwa akichagua kitabu cha kujisomea katika eneo la Mbezi jijini Dar es salaam.

Huyu alitafuta eneo zuri kwake linalomwezesha kusoma kitabu kwa utuvuli.

PICHA ZOTE NA KIZITO MPANGALA
 

No comments:

Post a Comment

Maoni yako