November 04, 2017

UTALII: UFUKWE WA KIJIJI CHA LUNDU

Wilaya ya Nyasa imebarikiwa kuwa na fukwa zuri zinazotokana na ziwa Nyasa. Huu mojawapo ya ufukwe wenye historia kubwa sana, kupokea wageni kutoka Ujerumani, Uingereza, Italia na nchi mbalimbali ambao wengi wao walikuja kupitia Shirika la Benedictine Fathers la Peramiho na wengine kwa njia zao binafsi. Ni ufukwe wenye kumbukumbu nzuri sana kwa wakazi na wageni.
KARIBUNI NYASA.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako