September 27, 2017

SALUM MWALIMU ASHINDA KESI



BARIADI: Kesi Na. 158/2016 iliyokuwa inamkabili Naibu Katibu Mkuu (CHADEMA) Zanzibar ndugu Salum Mwalimu na wenzake katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Bariadi imetupiliwa mbali, hivyo basi washtakiwa wote wako huru kwanzia leo 27 Septemba 2017.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako