December 18, 2012

AIBU NA KASHFA KWA TANZANIA NA KENYA

Kuna taarifa huko Hong Kong kukamatwa kwa meno ya tembo kutoka Tanzania na Kenya.
Katika hali inayoshangaza juu ya idara zetu za uhamiaji, pamoja na ulinzi wa rasilimali zetu, ni wazi tunahitajika kufanya mapinduzi makubwa juu ya kulinda mali zetu.
Hii ni moja ya jambo linalosumbua akili za wananchi kwani haiwezekani tukakosa uadilifu kiasi cha ksuhindwa kulinda mali zetu.   Najiuliza tu, tuombe ile kesi ya wahusika ifike mahali pazuri kwa kuwatia hatiani.

SOMA HAPA ZAIDI KUJIKUMBUSHA

No comments:

Post a Comment

Maoni yako