Showing posts with label Kilimo. Show all posts
Showing posts with label Kilimo. Show all posts
January 06, 2018
NYASA NI MAARUFU KWA KILIMO CHA MATUNDA
November 16, 2017
MV NJOMBE INAVYOFUNGUA FURSA KWA WAKAZI ZIWA NYASA.
![]() |
Honorius Mpangala, 0628994409 |
AKIWA katika kampeni za urais mwaka 2005 Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete katika ardhi ya Kyela Mkoani Mbeya alihaidi meli. Alirudia tena kauli hiyo alipokuwa katika ardhi ya Mbamba Bay Mkoani Ruvuma. Baada ya kipindi cha utawala wake hatimaye meli alizoahidi tayari zimeonwa na Wanyasa.
MV Njombe imekamilika na kufanikiwa safari moja ya majaribio kutoka Bandari ya Itungi
hadi Mbamba Bay. Yapo mambo ambayo ni
fursa kwa wakazi wa Nyasa kutokana Meli hii. Kama inavyoitwa ni meli ya mizigo
ni chombo kitakachoweza kuwainua kiuchumi wakaza wa Nyasa kama watakitumika
ipasavyo. Kuinuka kiuchumi kutatokana na kujikita katika shughuli ambazo wakazi
wake watajishughulisha na shughuli kama ilivyo kilimo biashara na hata ufugaji
wa kisasa na wenye tija katika maisha ya leo.
Kilimo
cha biashara ni moja ya ujasiriamali ambao watu wengi wamekuwa
wakijishughulisha nao. Katika mwambao wa Ziwa Nyasa hususani wilaya Nyasa yapo
mabonde ambayo yanaweza kufanyika kilimo cha mazao ya muda mfupi na kwa mfumo
wa kilimo cha umwagiliaji, na kile cha kutegema mvua na kuleta tija.
Madhumuni
ajira,
Biashara,
habari,
Imani,
Kilimo,
Linda,
liuli,
Matenje,
Mbaha,
mbamba bay,
Nyasa,
Uchumi
November 15, 2017
MANISPAA YA SONGEA KUNUNUA MAHINDI TANI 400
NA MWANDISHI WETU, SONGEA
Afisa Kilimo wa Manispaa ya
Songea Mushoborozi Christian amesema Halmashauri hiyo imepokea barua toka NFRA
inayotoa maelekezo ya ununuzi wa mahindi katika awamu ya tatu msimu wa mwaka
2017/2018.
HALMASHAURI ya Manispaa ya
Songea mkoani Ruvuma imepangiwa na Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula(NFRA)
katika msimu huu kununua mahindi tani 400.
![]() |
Picha kwa Hisani ya Manispaa ya Songea. |
October 17, 2017
TAKWIMU MUHIMU ZA WILAYA YA NYASA HADI OKTOBA 2017

2. Total Number of Households for Nyasa dc = 31,146
3. Total Female Population for Nyasa dc = 74,768.
4.Total Male Population for Nyasa dc = 71,392.
5. Total Population for Nyasa dc = 146,160.
6. Total Number of Secondary school = 14
7. Total Number of Primary School = 106
Total Number of Villages = 84
8. Total Number of Ward = 20
9. Total Number of Division = 3
CHANZO: Nyasa dc statistics
December 23, 2014
BAADHI YA MANDHARI YA WILAYA NYASA
August 24, 2014
"CHANGAMOTO ZA KILIMO NA WAKULIMA - NYASA"
Na Vitus Matembo, Mbamba Bay
MBOLEA YA RUZUKU: Wakulima wengi wa Nyasa hawaitumii mbolea
ya Ruzuku ya Serikali, na kuwaachia watu toka Mbinga kuja kuichukua. AJABU, Mtu
akitumia na akapata mavuno mengi. Wanafikiria ni WIZI WA KISHIRIKINA.
UVIVU: Namnukuu Mkuu wa Wilaya, Mh.ERNEST KAHINDI, huwa
anasema daima "Wakulima wengi ukanda wa Ziwa Nyasa ni Wavivu kwakuwa
hufanya kazi kwa muda mfupi, yaani toka saa 12.00 asubuhi hadi saa 3:00
asubuhi. Tofauti na maeneo mengne wanaotegemea Kilimo".
NYANYA TOKA NYASA HAZINA UBORA NA HUOZA MAPEMA: Wakulima
wengi wanajitahidi kulima Nyanya ila kutozihudumia ipasavyo na madawa
husababisha wafanyabiashara toka Nyasa kununua Nyanya toka Mbinga na Songea.
Wakati Nyasa kuna mito na ardhi nzuri.
KILIMO CHA KOROSHO: Nakumbuka Meja Generali Mstaafu
S.S.KALEMBO aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma alihimiza sana Wanyasa tulime zao
la Korosho kwakuwa ardhi ya Nyasa ni nzuri kwa kilimo hicho kama ilivyo
Tunduru, Lindi na Mtwara. Ila sijajua tatzo nini?.
KILIMO CHA MIWA NA KIWANDA CHA SUKARI LUNDO JAMANI
KIMEKUFAJE.
KILIMO CHA TUMBAKU SIJUI KIMEFIA WAPI KULE RUHEKEI.
January 29, 2014
UGAWAJI VIWANJA ZAIDI YA 200 KILOSA KWA WAFANYAKAZI WILAYANI NYASA
Na Vitus Matembo, Kilosa
Halimshauri ya wilaya imeendelea na mchakato wake wa kuuza
baadhi ya maeneo kwa wananchi ambao watakuwa tayari kuyanunua. Uuzaji huo
umelenga kuyaweka maeneo ya wilaya katika vipimo na mipango miji ambayo
itasaidia kuepukana na majanga.
Kwa sasa Nyasa kuna viwanja vinagawiwa kwa wafanyakazi wa
Serikali. Wanaanza wa Halmashauri na Mkuu wa Wilaya, sasa walimu. Nakusihi wewe
Mnyasa uliye Mbali kama ni mfanyakazi wa Serikalini andika barua ya maombi kwa
Mkurugenzi wa wilaya Nyasa. Gharama haizidi shilingi 80,000.
Madhumuni
Kilimo
Subscribe to:
Posts (Atom)