Showing posts with label wazo. Show all posts
Showing posts with label wazo. Show all posts
October 21, 2017
TABASAMU NA KITABU
Madhumuni
afya,
amani na upendo,
malezi,
mawazoni,
Nyasa,
Teknolojia,
urafiki,
utalii,
utamaduni,
uzuri,
vicheko,
Vitabu,
wageni,
wazo
October 11, 2017
SOMO LA LEO
“Mheshimiwa Kakunda (Joseph –Naibu Waziri Tamisemi)
nakuagiza kuanzia leo maana wewe ndiyo nimekukabidhi jukumu la elimu, nataka
mtihani wa 2019 shule za vipaji zote 22 ziongoze mtihani wa Taifa na shule
binafsi ziwe nyuma, lakini tuongoze kwa halali si ubabaishaji hapo ndipo shule
binafsi za makanjanja zitajifuta zenyewe,”
-Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi, Selemani Jafo.
Madhumuni
Mazingira,
Teknolojia,
Vitabu,
wazo
May 30, 2010
UMEWAHI KUFIKIRIA HILI KUHUSU SISI WANADAMU????/
KUNA MTU UMEWAHI KUMCHUKIA?? UNADHANI KUNA WATU WAMECHAGULIWA NA MUNGU??
......Ndiyo wapo wanaofikiria hilo,,,
Ndiyo maana wanaona wako karibu na Mungu.......... NINACHOJUA na kukiamini ni kuwa kila kiumbe duniani ni CHAGUO LA MUNGU, maana bila Mungu hakuna kitu kinachoweza kuwepo. Ndiyo maana hata SHETANI ni chaguo la Mungu, kama siyo chaguo la Mungu basi asingeumbwa.
SASA......... Mungu alitupatia akili na utashi ili tujue mema na mabaya kati yetu ili tumpendeze yeye tu. Twaweza kuishi hata bila chakula katika mazingira fulani lakini bila Mungu hatuwezi kuishi. Najua kila mtu duniani hata wewe unayesoma hapa ni CHAGUO LA MUNGU.
Waungwana nimeipenda hii kitu ya kutoka kwa FALSAFA YA ISANGO inayoandikwa na Josephat Isango au Misango.
Stori ya kipengele cha kukosoa dini leo nimeweka kando aiseeeee., lakini hata hii imekuwa poa. Mtani Fadhy upo hapo???? Da Mija, unasemaje, mtakatifu mungu wa wapare.... Ruksa kubishia Lol.....
......Ndiyo wapo wanaofikiria hilo,,,
Ndiyo maana wanaona wako karibu na Mungu.......... NINACHOJUA na kukiamini ni kuwa kila kiumbe duniani ni CHAGUO LA MUNGU, maana bila Mungu hakuna kitu kinachoweza kuwepo. Ndiyo maana hata SHETANI ni chaguo la Mungu, kama siyo chaguo la Mungu basi asingeumbwa.
SASA......... Mungu alitupatia akili na utashi ili tujue mema na mabaya kati yetu ili tumpendeze yeye tu. Twaweza kuishi hata bila chakula katika mazingira fulani lakini bila Mungu hatuwezi kuishi. Najua kila mtu duniani hata wewe unayesoma hapa ni CHAGUO LA MUNGU.
Waungwana nimeipenda hii kitu ya kutoka kwa FALSAFA YA ISANGO inayoandikwa na Josephat Isango au Misango.
Stori ya kipengele cha kukosoa dini leo nimeweka kando aiseeeee., lakini hata hii imekuwa poa. Mtani Fadhy upo hapo???? Da Mija, unasemaje, mtakatifu mungu wa wapare.... Ruksa kubishia Lol.....
Madhumuni
wazo
Subscribe to:
Posts (Atom)