February 11, 2009

Shindano! KITENDAWILI........

KITENDAWILI........................................., "Ni CHEUPE kama barafu na ni CHEUSI kama giza, KULIWA ni HARAMU na kunywa ni HALALI, kina herufi 5 na kinaanza na herfi M.
Kinatumiwa na WANAWAKE mara moja katika UMRI wao, na kinatumiwa na WANAUME mara tatu kwa siku.
Je, ni kitu gani hicho? Ukipata jawabu lake.

NB: ZAWADI NONO kwa mshindi

44 comments:

  1. Dah!! Kweli hiki ni kitendawili. Nawasubiri wenye kutegua ama tutakupa mji wa hukohuko Nyasa ukubali na kutuambia.
    Blessings

    ReplyDelete
  2. Mzee wa Changamoto msitake mji, ninyi nipeni jawabu tu halafu TUZO itatangazwa na hakika itatekelezwa tu.
    nawasubiri wengine. Koero yuko wapi wala simuoni humu, au kalala????

    ReplyDelete
  3. Nipo ngoja nitafakari........

    ReplyDelete
  4. Markus nimeshindwa,
    Ngoja nikupe mji, nendaaaaaaa,
    Nendaaaaaa, kijiji kimoja kinaitwa MFARANYAKI

    ReplyDelete
  5. JIBU LAKE NI MANII

    ReplyDelete
  6. MIMI NI SARA, JIBU LAKE NI MANII, NDIYE NILIYEANDIKA HAPO JUU

    ReplyDelete
  7. Koero kumbe upooOOO?
    Umetafakari lakini umeshindwa DUH!

    Sawa, unanipa mji,unataja kijiji cha Mfaranyaki. LAKINI Mfaranyaki ni mtaa tu uliopo hatua chache toka stendi kuu ya mabasi Songea.
    PIA niligoma sitaki mnipe mji, NATAKA JIBU

    SARA: Unasema MANII? nikuulize swali kwanza, je wanawake wanatumia MANII mara moja katika umri wao na wakati gani??? MANII wanaume wanatumia mara tatu kwa siku????????
    ha ha ha ha ha ha nacheka sana, ipo kazi hapa

    SARA asante kwa jawabu lakini tafakari maswali hapo juu halafu jiulize kama jawabu lako ni sahihi au la>
    Nawangojea wengine, ila msinipe mji!!!!!!

    ReplyDelete
  8. He! Markus, yaani bado umekomaa tu unataka jibu?

    Niliposema nakupa mji wa mfaranyaki, nilijua tu kwamba utafananisha na mtaa uliopa Songea,
    basi umechemsha, Kwa taarifa yako kuna mji unaitwa mfaranyaki kule Msumbiji.
    Kaka soma Jiografia......

    bado natafuta jibu, nikipata nitakujibu.
    Naona umempa changamoto dada Sarah.

    Sarah: mwaya hongera kwa kujaribu.

    ReplyDelete
  9. This comment has been removed by the author.

    ReplyDelete
  10. Kitendawili hicho ni kigumu kwani najaribu kufikiria ni kitu gani kinaweza kuwa cheupe na pia kikawa cheusi?, au jamaa katunga ili aweze kuwachemsha wana nzengo?, Akubali kupewa mji atupe jibu.

    ReplyDelete
  11. jibu ni maiti

    ReplyDelete
  12. JIBU NI MAUTI

    ReplyDelete
  13. mbona mauti haijaanza na herufi x

    ReplyDelete
  14. Jawabu yake ni MAUTI. katika mauti, maiti anavalishwa gwanda jeupe na anazikwa kwa kaburi lenye Giza, ni haramu kukula karibu na mauti lakini kunywa kwa kubalika, wanawake hawajishughulishi na MAUTI, ila wankumbana nayo wanapofariki, wanaume huwa wako na nyakati tatu kwa siku zenye maiti anaiza zikwa. KWA HIVO JIBU NI MAUTI.

    STANLEY MUIRURI GATHUMBI, GWINJI WA BARA, KUTOKA MURANG'A GATANGA.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kuna wanawake wanaosha maiti pia. Hapo inakuwaje...?!

      Delete
  15. Duhh yan hiki kitendawili mlikua mnahangaika nacho 2009 till now 2020 bado hamna jibu la uhakika duh kweli kigumu!

    ReplyDelete
  16. Jamani tupeni jibu basitujue

    ReplyDelete
  17. Makaburi-mtu mzuri anapo aga matendo yake huwa hungaa kama jua...mtu mbaya anapo aga matendo yake huwa nyeusi ka giza kaburini. Pia huezi kuila mwili wa marehemu lakini unaeza kunywa kusherekea wema wake kama kumbukumbu....Markus Mpangala nategea zawadi

    ReplyDelete
  18. Oyaaa jibu halikupatikana tu???

    ReplyDelete
  19. Twambie jibu tafadhali wengine wetu hatuelewi kiswahili vizuri

    ReplyDelete
  20. Nadhani nakubaliana na mauti

    ReplyDelete
  21. Jibu lake nishakupata tiali

    ReplyDelete
  22. Hapa jibu lilishindikanaje? Au mauti ni jibu sahihi

    ReplyDelete
  23. Hakuna jibu hapo, ama amekosea kuseti kitendawili.

    ReplyDelete
  24. Anonymous02 May, 2022

    Kwanzia 2009 mbaka sai 2022 uyu jama anacheza atupee jibu

    ReplyDelete
  25. Jibu ni xenon

    ReplyDelete
  26. 2023 bado hamna jibu, wenye bado mpo 2009 maisha vipi humo?

    ReplyDelete
    Replies
    1. 🤣🤣🤣maisha bado magumu

      Delete
  27. Jawabu ni lipi? Mji ni Zanzibar

    ReplyDelete

Maoni yako