February 11, 2009

Hakuna kulala hapa

Vipi, unaonaje ukijiunga nao! Unaweza kweli mauno ya viuno kama Fifimoto wa Enomizizi au wewe ni laini yaani nyororo! Utaweza wewe mtoto wa geti kali mambo haya? Mtoto umekulia wapi kama siyo ndani kutazama kideo na propaganda za seleka za walami ughaibuni.
Nakumbusha umuhimuwa kunengua mitindo ya kwetu, hakuna kulala aiseh

2 comments:

  1. Markus, Hii ni ngoma gani na huyo mwanaume hapo katikati anafanya nini?

    ReplyDelete
  2. Mwanaume napiga ngoma ili wanawake wajimwagemwage yaani mwaaaaa mwaaaa mwaaaa mwaaaaaaaaaaa viuno hakuna kuremba wala mikogo hapo.
    Kuna ngoma fulani hivi kwetu hapa zinaitwa CHOMANGA mara nyingi huchezwa na wanawake watu wazima, ila mabinti hucheza kwa kujifunza na kuiga tu. Ni maaalum kwa akina mama wakubwa.
    KAMA UNATAKA NAWEZA KUCHEZA HIYO USIPIME

    ReplyDelete

Maoni yako