December 27, 2017

SAMAKI ZIWA NYASA

Inakadiriwa kuna aina 700-1000 ya Samaki wa aina ya Cichlids katika Ziwa Nyasa. Samaki hao hawapatikani sehemu zingine duniani isipokuwa Ziwa Nyasa (Endemic). Samaki hao hutafutwa sana na wageni ambao hutengeneza MatankiMaji ya vioo kwaajili ya maonyesho (Aquarium).

MUHIMU; Pichani ni ufukwe wa Lundu upande wa kaskazini-magharibi unaitwa "Bandarini". Ni sehemu iliyokuwa inatumiwa na meli za MV. Iringa na MV.Songea kutia nanga. Katika ratiba iliyopo Meli mpya za mizigo ya MV.Ruvuma na MV Njombe hazitatia nanga hapa kwetu.

Lundu, Nyasa
Disemba 22/2017.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako