January 29, 2014

UGAWAJI VIWANJA ZAIDI YA 200 KILOSA KWA WAFANYAKAZI WILAYANI NYASA




Na Vitus Matembo, Kilosa
Halimshauri ya wilaya imeendelea na mchakato wake wa kuuza baadhi ya maeneo kwa wananchi ambao watakuwa tayari kuyanunua. Uuzaji huo umelenga kuyaweka maeneo ya wilaya katika vipimo na mipango miji ambayo itasaidia kuepukana na majanga.

Kwa sasa Nyasa kuna viwanja vinagawiwa kwa wafanyakazi wa Serikali. Wanaanza wa Halmashauri na Mkuu wa Wilaya, sasa walimu. Nakusihi wewe Mnyasa uliye Mbali kama ni mfanyakazi wa Serikalini andika barua ya maombi kwa Mkurugenzi wa wilaya Nyasa. Gharama haizidi shilingi 80,000.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako