December 18, 2012

SASA UNA HAKI YA KUMILIKI GARI!




Je, unahitaji kununua gari la kutembelea, gari la abiria ama la mizigo? Nyaluke Motors, biashara tanzu ya Anesa Co.,Ltd; tunakupa jibu zuri la hitaji lako. Sasa tunaagiza na kuuza magari aina mbalimbali (used cars) kutoka Japan. Tuna utaratibu na mfumo ambao haujawahi kuwepo Tanzania. Unachohitaji kufanya ni kuchagua gari ulipendalo ama kutuarifu; kisha sisi tutaliagiza na kukuletea mahali popote ulipo Tanzania.
Gharama zote utatulipa baada ya kukabidhiwa gari lako. Kwa kununua gari kupitia Nyaluke Motors utaweza kupata unafuu wa hadi milioni 5 ukilinganisha na bei zilizopo katika showrooms zote nchini. Chagua gari lolote; Nissan Serena, Nadia, Xtrail, Prado, Scania, Fuso, n.k: kisha sisi tutatimiza ndoto yako kwa bei nafuu sana na utaratibu rahisi.
Pia kwa kupitia mpango rafiki ambapo mteja anaweza kulipia gari kwa awamu; akiwa anaendesha gari lake. Tunapatikana: Iringa-Mjini na Kilombero-Morogoro.
Wasiliana nasi kupitia: stepwiseexpert@gmail.com. Haijawahi kutokea Tanzania; ununuzi wa magari kurahisishwa namna hii. Changamka sasa ununue na kumiliki gari lako mapema. Nyaluke Motors: tunaamini kuwa; "KUMILIKI GARI NI DEMOKRASIA YA KILA MTANZANIA".

No comments:

Post a Comment

Maoni yako