December 17, 2012

BEATRICE MPANGALA ASAJILIWA RASMI KUWA WAKILI

Wakili mpya, Ms Beatrice Makelele, anayeongea na Kilongalonga ambaye pia ni mdogo wa kaka Nathan Mpangala, akikata hatua huku akiwa na tabasamu tele mara baada ya kukubaliwa na kusajiliwa kuwa wakili katika sherehe zilizofanyika katika viwanja vya Law School of Tanzania, jijini Dar es Salaam, mapema Dec. 17, 2012. Hongera Salaam

Picha kwa hisani ya NATHAN MPANGALA, na hongera sana BEATRICE MPANGALA (Ms Makelele)

No comments:

Post a Comment

Maoni yako