August 24, 2014

UZURI WA FUKWE ZA NYASA

Mnaysa mwenzetu kaka Jerome Maendaenda, kila mwaka huiepeleka familia yake nyumbani Nyasa kutoka Dar es salaam. Hapa wakiwa wanafurahia maji ya ziwa Nyasa katika ufukwe wa Mbamba Bay.
KARIBUNI NYASA

No comments:

Post a Comment

Maoni yako