November 22, 2017

MISS TANZANIA-MAREKANI ALIPOKUTANA NA MHARIRI WA BLOGU HII

Miss Tanzania-Marekani ambaye alishika namba namba mbili kwa mwaka 2017,  Neema Olory akisalimiana na mhariri wa blogu hii, Markus Mpangala baada ya kutambulishwa kwake na mhariri wa gazeti la michezo la Bingwa, Mwani Nyangassa (mwenye shati jeusi). 

Neema alitembelea leo Jumatano katika Ofisi za Kampuni ya New Habari (2006) Limited, wazalishaji wa magazeti ya Bingwa,Mtanzania, Rai na Dimba. Blogu yetu ya Karibuni Nyasa inamkaribisha Wilayani Nyasa kujionea utalii, shughuli za uchumi na maendeleo zinazofanywa na wananchi wa mwambao wa Ziwa Nyasa.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako