January 01, 2009

2009 amani iwe nanyi kama MZEE WA CHANGAMOTO

Amani Heshima na Upendo kwako ndugu. Natumai kuwa u-mwema na unamalizia mwaka vema. Basi napenda kuchukua nafasi hii kukushukuru kwa mchango wako wa namna moja ama nyingine katika nyanja hii ya blog. Uwepo wako ni muhimu sana na kwa hakika tunajifunza mengi. Natumani (pamoja na wana-changamoto wote) kuwa mwaka ujao utakuwa mwema zaidi na tutaendelea vema katika ile nia ya KUIELIMISHA, KUIBURUDISHA NA KUIKOMBOA JAMII YETU kwa kadri ya uwezo wetu.
Heri ya mwaka mpya wa 2009 toka CHANGAMOTO YETU BLOG.

Salamu zako zipo http://changamotoyetu.blogspot.com/2008/12/happy-new-year-bloggers.html

"www.changamotoyetu.blogspot.com"

No comments:

Post a Comment

Maoni yako