March 29, 2013

BREAKING NEWS: JENGO LA GHOROFA 16 LAPOROMOKA JIJI DAR ES SALAAM

Tunatoa pole kwa ndugu, jamaa, na marafiki wote walio kumbwa na kuanguka kwa jengo lenye gorofa 14 (Mtaa wa Morogoro, Dar-es-salaam) kwa namna moja au nyingine. Inasikitisha sana kwani vifo vingi vimetokea.    


Mtaa wa Mosque katikati ya jiji la Dar es salaam


BADO WATU WAPO ENEO LA TUKIO WAKIWEMO VIONGOZI WAKUBWA WA MKOA;ASILIMIA KUBWA YA WATU WAMEOKOLEWA HUKU VIFAA DUNI VYA UOKOAJI VIKIKWAMISHA KAZO HIYO;WATU KADHAA WANAHOFIWA KUFA JAPOKUWA SINA IDADI KAMILI


MAONI YA MHANDISI EGBART JEREMY KATIKA UKURASA WANGU WA FACEBOOK
anasema, matatizo kama haya yanachangiwa na ....

COLUM ZIMEFELI TATIZO LA WAKANDARASI ,NA WAMILIKI UNAWEZA KUKUTA KUNA KIBAO CHA KUTAMBULISHA KAMPUNI INAYOJENGA LAKINI KAMPUNI HAIPO WALA WATAALAM NI KIBAO TU KIPO LAKINI UJENZI UNAFANYWA NA MMILIKI WA JENGO. NI TANZANIA ZAIDI UIJUAVYO...... anaendelea kusema ....


NILIKUWA NAANGALIA KWENYE TV YA CHANEL TEN JINSI LILIVYO POROMOKA LIMESHUKA LOTE NIKAGUNDUA KUWA COLUMN ZIMEFELI KUBEBA MZIGO MZITO


4 comments:

  1. Ni Jengo la NHC sio la Sabodo!

    ReplyDelete
  2. Tatizo linaweza kusababishwa pia na kufeli kwa msingi wenyewe unaotegemewa kuubeba huo mzigo wote na hii ni uwezo wa udongo kuhimili mzigo, Column zinasaidia kupeleka mzigo hukoo chini japo na zenyewe zinatakiwa kuwa imara. Majengo mengi nchini hujengwa bila kuzingatia uwezo wa udongo. Wengi hawafanyi utafiti wa udongo kabla ya ujenzi na wataalamu wanasema " Without site investigation Ground is Hazard" Ndo hiyo Hazard mumeiona jana .....

    ReplyDelete
  3. It's an awesome piece of writing designed for all the online viewers; they will take benefit from it I am sure.

    Look at my blog post: bankruptcy florida

    ReplyDelete
  4. Jengo hili linamilikiwa kwa ubia kati ya NHC na kampuni ya M/S LADHA CONSTRUCTION. Sasa kusema jengo la Sabodo ni kuacha tu kuitaja kampuni hiyo na umiliki wake. NHC inamiliki hisa 25% tu na inayobaki ni ya Sabodo

    ReplyDelete

Maoni yako