September 16, 2017

WATU NA VITAVU

Ni raia wa Afrika Kusini akiwa katika sehemu ya viunga vya jiji la Johannesburg. Huwa anasoma vitabu na kuueleza umma maudhui na mafundisho yaliyomo kitabuni, wapitao na kusikiliza humchangia fedha kadiri ya ridhaa ya mchangiaji. 

Ukimuadhima kitabu anasema ni bora akuuzie kwani yeye ameshasoma hivyo anapenda ununue na ukakisome kwa uhuru zaidi kuliko kuwa na mashaka ya muda wa kurudisha. Hivyo ndivyo apatavyo ridhiki.


No comments:

Post a Comment

Maoni yako